Niishi vipi na mwanaume aliyetoka kuachana na mkewe?

Niishi vipi na mwanaume aliyetoka kuachana na mkewe?

Dada, mpende, kuwa muwazi kwake, jiachie kila kona .
 
Kwa hiyo mtanizomea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijamind bwana, thanks kwa kahint ila sitegemei kubeba mimba bado nausoma mchezo [emoji23][emoji28] isije ikala kwangu
Lakini mzigo unatoa [emoji4][emoji848]
 
Back
Top Bottom