Niishi vipi na uyu baba wa watoto wangu

Niishi vipi na uyu baba wa watoto wangu

vee vivian

Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
25
Reaction score
86
Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..samahani kama nmekosea
 
Usibane matumizi bali tafuta njia za kuongeza kipato, pia huo muda unaotumia kumkimbia mumeo na watoto ungetumia kumuombea maana sio kawaida...
Kama hamjapanga anza kulima mboga mboga kisha uza hata matembere, kama umepangisha jifunze kupika mandazi uza ingia youtube kupitia hii simu uliyo post nayo huu uzi..
Kwa maelezo zaidi bonyeza moja
 
Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..samahani kama nmekosea
Huyo jamaa yako ni mkatili sana.
 
Pole sana kwa changamoto, sitoenda mbali sana na comment #1 kama kuna kaeneo lima mboga mboga uuze, jaribu kutoka na kufanya vibarua upate mtaji wa vitafunwa, nunua vifaranga vya kuku wa kienyeji vilivyoanza kujilia vyenyewe fuga baada ya muda utakuwa umepiga hatua na kama huyo mumeo ana akili atakusapoti. Mawazo ya kuondoka weka pembeni kwanza wewe ndio mkombozi wa hiyo familia yako.
Kila la heri.
 
Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..samahani kama nmekosea
@vee vivian sitaki kukupinga unachokipitia ila nnaimani huyo mmeo sio mtu mbaya ila pengine kuna mambo anayapitia nawewe unadhani labda nitabia yake mbovu,,jaribu kua chanya imean uwe mwanamke chanya katika mapito yenu as a family ikiwemo kumuombea kwa Mungu abadirike ikiwemo kutafuta watu wenye heshima wapate kumshauri..jitihada zako zakumhurumia na kujiweka upande wake zitafanya akuone ww kama msaada nasio balaa kwake.itafanya aanze kukueleza changamoto anazozipitia ikiwemo kubadirika nakukuachi buku ten ten badala ya buku5 tano,
Wanaume wengi hupitia changamoto nyingi sana zinazopelekea kubadirika katika tabia na utoaji huduma majumbani...kitu ambacho wanawake wengi hudhania hali iko vilevile pengine labda anapitia madeni ,au kazini boss kanuna au dili zake zimebuma wanawake waliowengi majumbani hawatoi msaada japo wakimawazo tu juu yachangamoto za waume zao bali huishia kulaumu tu kwa mabadiriko ya huduma nyumbani,hali hiii ya mwanmke kumlaumu mumewe hufanya mwanaume atafute msaada wa changmoto anazozipitia nje kwani mke aliyenaye hawezi kutoa msaada wowote japo wakimawazo au hata kujishughulisha nachochote Kile ikiwemo kubana matumizi wakati wadhiki ikiwemo kunipambania family.mwanmke automaic hugeuka mzigo mzitosan wa misumari kichwani kwa mumewe.
 
Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..
Habari hii ni ya upande mmoja tu, sijui upande wa Pili Wana maoni gani?
Wakati mnatongozana mliweka mikakati gani ya kimaisha hapo ndipo tuanze ushauri
Absolutely.
Waliishi vipi maisha yao katika kipindi chote hadi wakafanikiwa kupata watoto wawili walionao?? Maisha yao yalikuwaje?Nini kimebadilika Sasa?

Anapaswa kutoa full details ili aweze kusaidika vizuri.
 
Huyo jamaa yako ni mkatili sana.
Sana mkuu, yan dah nimejisikia vibaya sana kusoma huu uzi bora hata ningeachana nao. Dooh pole sana mdogo angu vee vivian , umewaleleza haya mambo yote kwa uwaz nyumban kwa wazee wako?. Hakyanani mwanangu akiteswa hivi labda nisiwepo duniani , maisha haya !! Hata kama hana hela mwamba ila kwa hatua hii hapana kabisa..
 
Habari hii ni ya upande mmoja tu, sijui upande wa Pili Wana maoni gani?
Ofcz ni kwel chuef, hili nalo ni la kulitazama.
Absolutely.
Waliishi vipi maisha yao katika kipindi chote hadi wakafanikiwa kupata watoto wawili walionao?? Maisha yao yalikuwaje?Nini kimebadilika Sasa?
Yaah yah ni kwel mkuu maana hii story hakyanan imetu tugusa mioyo straight kitu ambacho tunaweza kusahau ku query hoja za msingi
Anapaswa kutoa full details ili aweze kusaidika vizuri.
Yah sure. Na vile JF sasa ilivyo na vijana wa hovyo wamejaa, unaweza kuta ni uzi wa dume linatuchora.
But i mean ni malice no no body like Intelligent businessman
 
Huyo mwanaume hela za pombe anatoa wapi mpaka yeye ndio anaita marafiki zake?... Anyway ushauri waliotoa wadau kuhusu ufanye nini siko nao mbali sana.
 
Back
Top Bottom