Niiteni Mara (uchungu)

Niiteni Mara (uchungu)

MsLisa

Member
Joined
Nov 20, 2023
Posts
32
Reaction score
101
Mimi nilizaliwa miaka ya 90, ni mtoto wa 3 kwenye familia ya watoto 5.
Katika hatua za ukuaji, nilionyesha tabia za tofauti na wenzangu. Mama alisema nilikuwa sieleweki kama nna furaha au nimekasirika. Wala sikuonyesha kufurahia vitu kama toys au kucheza na watoto wengine.
Lakini nikaendelea kukua, nilivyokuwa na miaka 5 nikaanza nursery baadae nikaanza la kwanza. Shule pia walimu hawakunielewa – waliniona mkorofi, napenda kukasirika, wengine wakasema mjeuri na mengine mengi.
Niliadhibiwa, nikasemwa lakini sikuwaelewa na sikubadilika. Ila kwenye mitihani, nilifaulu sana. Maisha ya shule hayakuwa marahisi kwangu. Nilivyokuwa darasa la 4, nikaanza kuanguka, nikapelekwa hospital nikapimwa kisha nikapewa dawa za kifafa.
Nilivyoanza kuumwa nilikaa nyumbani muda mrefu, nilivyorudi shule walimu waliambiwa kwamba bado ile hali ya kuanguka haijaisha hivyo wakawa wameacha kunisemasema na kunipiga.
Ila walimu walivyoacha kunisema haikunisaidia sana, kwasababu nyumbani wazazi walitengana mwaka mmoja kabla sijaanza kuumwa. Basi mama akawa na uchungu , akawa anamalizia hasira zake kwangu. Ukiangusha hata kijiko hapo ndani anatoa maneno makaliii! Kwahiyo akawa ananibully, ananiambia wewe mjinga tu hutafika mbali!
Mungu alijalia nikamaliza la saba, nikaenda boarding school. (Nilienda na dawa zangu) .Nilishukuru kwenda sehemu mpya nikitumaini huko ntakaa kwa raha. Lakini nilivyofika mambo yakawa vilevile. Nikaambiwa mimi mjeuriii , najibu watu vibaya, lakini pia nikaanza kusikia watu wanaambiana huyu wa ajabu, nk. Zile changamoto za primary zikarudi.
Maisha yalikuwa magumu sana, kuna wakati nikiwa kama form 3 hivi nikawa nataka kujiua lakini nikashindwa.
Siku zikasogea nikamaliza form 4,nikaenda a level baadae chuo.
Nilivyomaliza chuo, nikawa nafanya kazi. Nikajakupata Depression kubwa nikawa sina hamu ya kuishi sina nguvu hata ya kuamka kitandani. Nikawa nikitoka kazini nikiona magari pale kwenye foleni natamani nijirushe. Nilivyoona ile hali haishi nikaacha kazi nikawa tu niko nyumbani. Basi mama alivyojua nimeacha kazi akaanza kunisemaa, kwamba nachagua kazi wakati sina lolote. Baba yeye alikuwa supportive.
Baada ya muda mrefu nikawa sawa, nikapata kazi nyingine kwenye NGO ya watu wa marekani . Nilivyokaa na wale wazungu ndio mmoja wao akahisi nna usonji, nilivyofanyiwa vipimo ikawa confirmed. Baadae ile kazi pia nilikuja kuacha
Nimeandika hivi kwasababu natamani watu waelewe madhara ya kumwambiaa mtu kuwa wewe ni wa ajabu/mjinga/zoba na mengine yanayofanana na hayo yana madhara makubwa. Unamsababishia mtu kutojiamini , stress na depression.
Lakini pia, wazazi ambao umejaliwa watoto zaidi ya mmoja, jifunze kuwa fair sio kukaa unapendelea wale unaoona wana potential kubwa.
Ruth 1:20
 
Mimi nilizaliwa miaka ya 90, ni mtoto wa 3 kwenye familia ya watoto 5.
Katika hatua za ukuaji, nilionyesha tabia za tofauti na wenzangu. Mama alisema nilikuwa sieleweki kama nna furaha au nimekasirika. Wala sikuonyesha kufurahia vitu kama toys au kucheza na watoto wengine.
Lakini nikaendelea kukua, nilivyokuwa na miaka 5 nikaanza nursery baadae nikaanza la kwanza. Shule pia walimu hawakunielewa – waliniona mkorofi, napenda kukasirika, wengine wakasema mjeuri na mengine mengi.
Niliadhibiwa, nikasemwa lakini sikuwaelewa na sikubadilika. Ila kwenye mitihani, nilifaulu sana. Maisha ya shule hayakuwa marahisi kwangu. Nilivyokuwa darasa la 4, nikaanza kuanguka, nikapelekwa hospital nikapimwa kisha nikapewa dawa za kifafa.
Nilivyoanza kuumwa nilikaa nyumbani muda mrefu, nilivyorudi shule walimu waliambiwa kwamba bado ile hali ya kuanguka haijaisha hivyo wakawa wameacha kunisemasema na kunipiga.
Ila walimu walivyoacha kunisema haikunisaidia sana, kwasababu nyumbani wazazi walitengana mwaka mmoja kabla sijaanza kuumwa. Basi mama akawa na uchungu , akawa anamalizia hasira zake kwangu. Ukiangusha hata kijiko hapo ndani anatoa maneno makaliii! Kwahiyo akawa ananibully, ananiambia wewe mjinga tu hutafika mbali!
Mungu alijalia nikamaliza la saba, nikaenda boarding school. (Nilienda na dawa zangu) .Nilishukuru kwenda sehemu mpya nikitumaini huko ntakaa kwa raha. Lakini nilivyofika mambo yakawa vilevile. Nikaambiwa mimi mjeuriii , najibu watu vibaya, lakini pia nikaanza kusikia watu wanaambiana huyu wa ajabu, nk. Zile changamoto za primary zikarudi.
Maisha yalikuwa magumu sana, kuna wakati nikiwa kama form 3 hivi nikawa nataka kujiua lakini nikashindwa.
Siku zikasogea nikamaliza form 4,nikaenda a level baadae chuo.
Nilivyomaliza chuo, nikawa nafanya kazi. Nikajakupata Depression kubwa nikawa sina hamu ya kuishi sina nguvu hata ya kuamka kitandani. Nikawa nikitoka kazini nikiona magari pale kwenye foleni natamani nijirushe. Nilivyoona ile hali haishi nikaacha kazi nikawa tu niko nyumbani. Basi mama alivyojua nimeacha kazi akaanza kunisemaa, kwamba nachagua kazi wakati sina lolote. Baba yeye alikuwa supportive.
Baada ya muda mrefu nikawa sawa, nikapata kazi nyingine kwenye NGO ya watu wa marekani . Nilivyokaa na wale wazungu ndio mmoja wao akahisi nna usonji, nilivyofanyiwa vipimo ikawa confirmed. Baadae ile kazi pia nilikuja kuacha
Nimeandika hivi kwasababu natamani watu waelewe madhara ya kumwambiaa mtu kuwa wewe ni wa ajabu/mjinga/zoba na mengine yanayofanana na hayo yana madhara makubwa. Unamsababishia mtu kutojiamini , stress na depression.
Lakini pia, wazazi ambao umejaliwa watoto zaidi ya mmoja, jifunze kuwa fair sio kukaa unapendelea wale unaoona wana potential kubwa.
Ruth 1:20
Pole sana mkuu. You have made it. Umeshavuka vikwazo vyote hivyo sasa hivi umekomaa. Usidhani ni wewe tu una matatizo, kuna wengine wana makubwa kuliko wewe.
 
Pole sana mkuu. You have made it. Umeshavuka vikwazo vyote hivyo sasa hivi umekomaa. Usidhani ni wewe tu una matatizo, kuna wengine wana makubwa kuliko wewe.
Ila na yeye Ana matatizo na pia Kuwepo kwa watu wengine wenye matatizo Makubwa zaidi haiondoi matatizo yake……
Mimi sifurahiii kuambiwa usijari kuna watu wanapitia magumu na maumivu zaidi yako,, maana hiyo hainipunguziii matatizo na maumivu yangu….hiyo ni cheap excuse ya kuchukulia matatizo na shida za watu simple simple….
 
Ila na yeye Ana matatizo na pia Kuwepo kwa watu wengine wenye matatizo Makubwa zaidi haiondoi matatizo yake……
Mimi sifurahiii kuambiwa usijari kuna watu wanapitia magumu na maumivu zaidi yako,, maana hiyo hainipunguziii matatizo na maumivu yangu….hiyo ni cheap excuse ya kuchukulia matatizo na shida za watu simple simple….
Kujua kuwa kuna watu wengi wanakabiliwa na tatizo kama lako ni njia nzuri sana ya kuleta relieve.
 
Mimi nilizaliwa miaka ya 90, ni mtoto wa 3 kwenye familia ya watoto 5.
Katika hatua za ukuaji, nilionyesha tabia za tofauti na wenzangu. Mama alisema nilikuwa sieleweki kama nna furaha au nimekasirika. Wala sikuonyesha kufurahia vitu kama toys au kucheza na watoto wengine.
Lakini nikaendelea kukua, nilivyokuwa na miaka 5 nikaanza nursery baadae nikaanza la kwanza. Shule pia walimu hawakunielewa – waliniona mkorofi, napenda kukasirika, wengine wakasema mjeuri na mengine mengi.
Niliadhibiwa, nikasemwa lakini sikuwaelewa na sikubadilika. Ila kwenye mitihani, nilifaulu sana. Maisha ya shule hayakuwa marahisi kwangu. Nilivyokuwa darasa la 4, nikaanza kuanguka, nikapelekwa hospital nikapimwa kisha nikapewa dawa za kifafa.
Nilivyoanza kuumwa nilikaa nyumbani muda mrefu, nilivyorudi shule walimu waliambiwa kwamba bado ile hali ya kuanguka haijaisha hivyo wakawa wameacha kunisemasema na kunipiga.
Ila walimu walivyoacha kunisema haikunisaidia sana, kwasababu nyumbani wazazi walitengana mwaka mmoja kabla sijaanza kuumwa. Basi mama akawa na uchungu , akawa anamalizia hasira zake kwangu. Ukiangusha hata kijiko hapo ndani anatoa maneno makaliii! Kwahiyo akawa ananibully, ananiambia wewe mjinga tu hutafika mbali!
Mungu alijalia nikamaliza la saba, nikaenda boarding school. (Nilienda na dawa zangu) .Nilishukuru kwenda sehemu mpya nikitumaini huko ntakaa kwa raha. Lakini nilivyofika mambo yakawa vilevile. Nikaambiwa mimi mjeuriii , najibu watu vibaya, lakini pia nikaanza kusikia watu wanaambiana huyu wa ajabu, nk. Zile changamoto za primary zikarudi.
Maisha yalikuwa magumu sana, kuna wakati nikiwa kama form 3 hivi nikawa nataka kujiua lakini nikashindwa.
Siku zikasogea nikamaliza form 4,nikaenda a level baadae chuo.
Nilivyomaliza chuo, nikawa nafanya kazi. Nikajakupata Depression kubwa nikawa sina hamu ya kuishi sina nguvu hata ya kuamka kitandani. Nikawa nikitoka kazini nikiona magari pale kwenye foleni natamani nijirushe. Nilivyoona ile hali haishi nikaacha kazi nikawa tu niko nyumbani. Basi mama alivyojua nimeacha kazi akaanza kunisemaa, kwamba nachagua kazi wakati sina lolote. Baba yeye alikuwa supportive.
Baada ya muda mrefu nikawa sawa, nikapata kazi nyingine kwenye NGO ya watu wa marekani . Nilivyokaa na wale wazungu ndio mmoja wao akahisi nna usonji, nilivyofanyiwa vipimo ikawa confirmed. Baadae ile kazi pia nilikuja kuacha
Nimeandika hivi kwasababu natamani watu waelewe madhara ya kumwambiaa mtu kuwa wewe ni wa ajabu/mjinga/zoba na mengine yanayofanana na hayo yana madhara makubwa. Unamsababishia mtu kutojiamini , stress na depression.
Lakini pia, wazazi ambao umejaliwa watoto zaidi ya mmoja, jifunze kuwa fair sio kukaa unapendelea wale unaoona wana potential kubwa.
Ruth 1:20
Pole sana.
❤️❤️
 
Back
Top Bottom