Nikajua bila yeye siwezi kumbe kukosa hela kuna mfanya mwanaume kupenda kupitiliza

Nikajua bila yeye siwezi kumbe kukosa hela kuna mfanya mwanaume kupenda kupitiliza

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Saizi kidogo napumua hata nikiona simu yake naichukulia poa tu hata asiponipigia mwez mzima hata sistuki ila zamani dah kila muda bebi upo wap bebi unafanya nini?

Na nikimuona na mwanaume naumia sana ila saizi kwakweli dada zangu wanawake nawaona ni vitu vya kawaida sana hata upite na makalio yenye mvuto kiasi gani nikifungua tu waleti yangu nikaona nyekundu nyekundu za kuzidi na risit ya bank inasoma asee hata muda wa kuwaza mapenz nakosa.

Wanaume ukiwa na miladi ya hela mapenzi sio ishu sana so mjifunze kuwekeza hivyo vi mia mia vyenu ili kuepuka na maumivu ya moyo hawa dada zetu wanatupenda sana tukiwa na hela so dunia imebadilika mwezen enzi zangu nilinusulika kunywa sumu kisa mwanamke

Ila saiv yeye ananusulika kisa mimi afu sina time heshima ya mwanaume pesa heshima ya mwanamke ndoa mume mwanamke hata awe na buggat mia 500 usipokuwa na mume utaonekana mdangaji.

Asanteni kwa kusoma
 
Upendo wa kweli unathibitika kipindi cha dhiki anyway sijui nilikuwa nataka kusema nini but hongera kwa kujipata Mkuu
kuna dhiki zake mi nilipitia dhiki miaka 8 inafikia hatua mpaka anakata tamaa akaniacha ila nilipojipata nikamludia ila nikikumbuka alivyokuwa ananitolea kauli mmh asee acha kabisa ila saiv mm ndio mtoa kauli nyundo na yeye anavumilia so pesa na mwanaume mapenz ni mwanamke
 
Ulikua huna pesa akakutesa akakuacha umepata pesa wewe ndo umemrudia tena.
Sasa mbona wewe ndo dhaifu kwenye hayo mmhusiano?

Mi siwezi kurudi kwa mwanamke wa namna hiyo wala nisingehitaji kujua chochote kuhusu yeye
 
Ulikua huna pesa akakutesa akakuacha umepata pesa wewe ndo umemrudia tena.
Sasa mbona wewe ndo dhaifu kwenye hayo mmhusiano?

Mi siwezi kurudi kwa mwanamke wa namna hiyo wala nisingehitaji kujua chochote kuhusu yeye
kama hospital docta bila pesa hakutibu ndio kwanza anakujibu jeuri ila ukienda na hela anakuchekea na kukushuhurikia haraka namaanisha hv alikizi vigezo vya kuitwa mke ndio mana alivumilia mwaka wa kwanza had wa nane so yeye ndie alienifanya niyaangalie maisha kwa jicho la tatu
 
Ulianza vzr,ila umekuja kuharibu tu hapo ulipo pata hela ukamrudia, ingetakiwa umuonjeshe hela Kisha piga kama wiki,tupa kule vuta mama nyingine katiza nayo mbele yake
kulikuwa na sababu za kumrudia katk maisha yangu huwa nampenda anaenipa changamoto na sio anaenipoza kwenye changamoto
 
kama hospital docta bila pesa hakutibu ndio kwanza anakujibu jeuri ila ukienda na hela anakuchekea na kukushuhurikia haraka namaanisha hv alikizi vigezo vya kuitwa mke ndio mana alivumilia mwaka wa kwanza had wa nane so yeye ndie alienifanya niyaangalie maisha kwa jicho la tatu
Hapa kwel umemfanyia uungwana kulipa wema wake..kakuvumilia miaka 8 kiukwel ana vigezo japo kwel huwa inauma ukikumbuka shombo alizokutolea
 
Shombo hata wazazi waliokuzaa wanaweza kukutolea ukiwa haueleweki seuze mwanamke unayemkuta ukubwani? Punguzeni kujiona malaika
UShasema mzazi aliyenizaa shimbo zake i can bear maana hata bible inasema heri lawama za wenye hekima kuliko sifa za waoumbavu, sasa wewe mbwa koko ambaye huna blood relation na mimi kama usemabyonkuwa tumekutana ukubwani, how dare u spit shit on me ?? Go to hell
 
UShasema mzazi aliyenizaa shimbo zake i can bear maana hata bible inasema heri lawama za wenye hekima kuliko sifa za waoumbavu, sasa wewe mbwa koko ambaye huna blood relation na mimi kama usemabyonkuwa tumekutana ukubwani, how dare u spit shit on me ?? Go to hell
Taratibu, huyo unayemuita mbwa koko ndio mama wa watoto wako na mke wako na anahaki mbele ya Mungu juu yako kuliko hata mama yako unayemhusudu
 
Taratibu, huyo unayemuita mbwa koko ndio mama wa watoto wako na mke wako na anahaki mbele ya Mungu juu yako kuliko hata mama yako unayemhusudu
Mke wangu anaweza akaniacha na akenda kuolewa kwimgine..mke wangu anaweza akawa anagongwa na wahuni wengine na akanizalia watoto haramu wasio wangu akanibambikiza.
Mke wangu sio ndugu yangu, ni mwanamke tu ambaye tumeinfia makubaliano ya kuishi pamoja.
Ana background yake kwa miaka ya kutosha na sizijui.

Mke wangu anaweza akaniacha fakika yoyote na hata akaniua na kunifirisi.

Mke ni mwanamke tu kama wanawake wengine , hana umuhim huo unataka kumpa kwemye maisha ya mwanaume.
Mke halingani hata kidogo na mama mzazi
 
Mke wangu anaweza akaniacha na akenda kuolewa kwimgine..mke wangu anaweza akawa anagongwa na wahuni wengine na akanizalia watoto haramu wasio wangu akanibambikiza.
Mke wangu sio ndugu yangu, ni mwanamke tu ambaye tumeinfia makubaliano ya kuishi pamoja.
Ana background yake kwa miaka ya kutosha na sizijui.

Mke wangu anaweza akaniacha fakika yoyote na hata akaniua na kunifirisi.

Mke ni mwanamke tu kama wanawake wengine , hana umuhim huo unataka kumpa kwemye maisha ya mwanaume.
Mke halingani hata kidogo na mama mzazi
Mimi niseme nini zaidi ndugu mchangia mada, unapata wakufanana nae. That's a poor life choice on your part my dear halafu unaleta makasiriko mtandaoni. Ulishikiwa kisu kumuoa huyo mkeo? Mnaoa watu wenye tabia za ovyo halafu mnakuja kulia lia kuachwa na uzinzi
 
Back
Top Bottom