Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Sijajiongelea specific maana siko hapa kuandika maisha yangu.Mimi niseme nini zaidi ndugu mchangia mada, unapata wakufanana nae. That's a poor life choice on your part my dear halafu unaleta makasiriko mtandaoni. Ulishikiwa kisu kumuoa huyo mkeo? Mnaoa watu wenye tabia za ovyo halafu mnakuja kulia lia kuachwa na uzinzi
Hii ni standard applied to all.
Wanawake wwnyewe nyie ambao 80% ni malaya mliojificha kwenye ndoa.
So hapo nimeongea standard perspective ilioko mtaani kwenye jamii kila siku tunaona na kushuhudia. Na visa vimejaa humu majukwaan tele.
Pole hizo chukua wewe mdogo angu