Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Sijajiongelea specific maana siko hapa kuandika maisha yangu.Mimi niseme nini zaidi ndugu mchangia mada, unapata wakufanana nae. That's a poor life choice on your part my dear halafu unaleta makasiriko mtandaoni. Ulishikiwa kisu kumuoa huyo mkeo? Mnaoa watu wenye tabia za ovyo halafu mnakuja kulia lia kuachwa na uzinzi
Karibu nduguSijajiongelea specific maana siko hapa kuandika maisha yangu.
Hii ni standard applied to all.
Wanawake wwnyewe nyie ambao 80% ni malaya mliojificha kwenye ndoa.
So hapo nimeongea standard perspective ilioko mtaani kwenye jamii kila siku tunaona na kushuhudia. Na visa vimejaa humu majukwaan tele.
Pole hizo chukua wewe mdogo angu
PESA,PESA. BWANA WEWESaizi kidogo napumua hata nikiona simu yake naichukulia poa tu hata asiponipigia mwez mzima hata sistuki ila zamani dah kila muda bebi upo wap bebi unafanya nini?
Na nikimuona na mwanaume naumia sana ila saizi kwakweli dada zangu wanawake nawaona ni vitu vya kawaida sana hata upite na makalio yenye mvuto kiasi gani nikifungua tu waleti yangu nikaona nyekundu nyekundu za kuzidi na risit ya bank inasoma asee hata muda wa kuwaza mapenz nakosa.
Wanaume ukiwa na miladi ya hela mapenzi sio ishu sana so mjifunze kuwekeza hivyo vi mia mia vyenu ili kuepuka na maumivu ya moyo hawa dada zetu wanatupenda sana tukiwa na hela so dunia imebadilika mwezen enzi zangu nilinusulika kunywa sumu kisa mwanamke
Ila saiv yeye ananusulika kisa mimi afu sina time heshima ya mwanaume pesa heshima ya mwanamke ndoa mume mwanamke hata awe na buggat mia 500 usipokuwa na mume utaonekana mdangaji.
Asanteni kwa kusoma
Mimi si ndugu yako na ukaribu na wewe siutaki. Kaa mbali kabisaaKaribu ndugu
33Una umri gani?
Wagombanao ndio..... Sogea karibu basi, unakimbia wapi sasa usiku mfupi sana. I'm coming to the light in the right way ππMimi si ndugu yako na ukaribu na wewe siutaki. Kaa mbali kabisaa
Ahahahaha... i can tell wewe ni mjuzi na mwenye hekima ya kum adjust mtu.Wagombanao ndio..... Sogea karibu basi, unakimbia wapi sasa usiku mfupi sana. I'm coming to the light in the right way ππ
bonge moja la ujumbe asanteeeUkiwa na pesa mbele ya wanadamu unaonekana ni dhahabu Ile kilo Moja ya dhahabu ikitumbukia kwenye shimo la choo watu watakuchimba wakupate ukiwa hauna pesa mbele ya mwanamke utaonekana ni harufu ya choo ukizipata haraka sana utageuka kuwa manukato unapokuwa kipindi hichi jifunze kusamehe kila mtu aliyekuumiza kipindi hauna kitu pesa zako zitaongezeka na maisha yako yatakuwa marefu sana ukazidi kuwa mwingi katika kutendea wengine matendo mema waswahili wanasema usitumie pesa zako kuwa fimbo
Let me learn to go with this, my entire life..Women doesn't love us, they rate us.
Aluta continuaLet me learn to go with this, my entire life..
Thank you brother Natafuta Ajira I adore the knowledge you posses at this angle.
Live long, for the next generations to cherish..
NaamSaizi kidogo napumua hata nikiona simu yake naichukulia poa tu hata asiponipigia mwez mzima hata sistuki ila zamani dah kila muda bebi upo wap bebi unafanya nini?
Na nikimuona na mwanaume naumia sana ila saizi kwakweli dada zangu wanawake nawaona ni vitu vya kawaida sana hata upite na makalio yenye mvuto kiasi gani nikifungua tu waleti yangu nikaona nyekundu nyekundu za kuzidi na risit ya bank inasoma asee hata muda wa kuwaza mapenz nakosa.
Wanaume ukiwa na miladi ya hela mapenzi sio ishu sana so mjifunze kuwekeza hivyo vi mia mia vyenu ili kuepuka na maumivu ya moyo hawa dada zetu wanatupenda sana tukiwa na hela so dunia imebadilika mwezen enzi zangu nilinusulika kunywa sumu kisa mwanamke
Ila saiv yeye ananusulika kisa mimi afu sina time heshima ya mwanaume pesa heshima ya mwanamke ndoa mume mwanamke hata awe na buggat mia 500 usipokuwa na mume utaonekana mdangaji.
Asanteni kwa kusoma