Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Hahaha uwoga wako ndiyo umasikini wako...PM mimi bado sijaenda, ila nimemuomba yeye aje amekataa.
Nakumbuka sakata la HusnaTheBosslady PM siwezi kwenda kichwa kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha uwoga wako ndiyo umasikini wako...PM mimi bado sijaenda, ila nimemuomba yeye aje amekataa.
Nakumbuka sakata la HusnaTheBosslady PM siwezi kwenda kichwa kichwa
Mkuu hapo kazi kwako tuu mamaeeeKuna uzi unaoelezea ku bold, nimeutafuta bado sijaupata, nikiiupata nitakuletea link ukajifunze.
Ila tunaweza kuanza kidogo kidogo kuelekezana.
Andika [ halafu inafuatiwa na herufi ''b" andika ] halafu andika maneno unayotaka kucomment.
Lakini usiache nafasi kuanzia mabano hadi maneno.
Jaribu nione
Utamjua tu ngoja, mpe mudaDaby ndiyo nani?
Usijali mkuuHahaha uwoga wako ndiyo umasikini wako...
Mkuuu we ulizaa Tu wala hatausijali Kwan aniva jinalako?Hilo jina lamtu mkuuHilo pia jina lamtu?
Nimejifunza vitu vingi sana humu JF, sasa ni jukumu langu kuelekeza ninachokijua kutoka humu kwa anayehitajiMkuu hapo kazi kwako tuu mamaeee
Hapao kubold umesema unaandika b"katkat ya maneno mfano[gegeda]hiyo b inaandikwa wap apo mkuuNimejifunza vitu vingi sana humu JF, sasa ni jukumu langu kuelekeza ninachokijua kutoka humu kwa anayehitaji
Herufi b iandike katikati ya mabano halafu nje ya mabano andika ujumbe unaotaka kuupostHapao kubold umesema unaandika b"katkat ya maneno mfano[gegeda]hiyo b inaandikwa wap apo mkuu
utampataHapana Mimi sina mume humu. Nimejiunga Jana tu.
Jamani si keshasema kuwa yeye ni Msichana, au wasichana ??!!.Wewe ni ke ,ME?
hahahaUnataka Mme wewe
definitelyJF where we dare to talk openly
asante mkuuHerufi b iandike katikati ya mabano halafu nje ya mabano andika ujumbe unaotaka kuupost
Mkuu anatakuwa haoni huyo jamaaJamani si keshasema kuwa yeye ni Msichana, au wasichana ??!!.
Ahsante kushukuruasante mkuu
karibu mgeniHabari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Nashukuru kipenzi kwa kunishtua maana ndio kitengo change.Niitie Kichwa Kichafu aje kukaribisha mgeni