Nan kakwambia tena mess ukimpeleka viwanja vya ndondo cup anakipiga vizuri tu yule MTU ni giftedMessi hatoweza kucheza kiwanja kibovu wakati vizuri vipo. Sema we akili yako inakutuma ni ngumu Ku_score kiwanja cha mchangani wakati mtaani huku wanafungana magoli daily. Ujue suala la mchezaji kushindwa kucheza kiwanja kibovu ni Psychology tu. Messi hawez kucheza rough pitch hatomudu maana ameshajengwa kucheza pitch nzuri
Nimecheka sana...Ukipata fursa nyingine,mtazame na Diego Armando Maradona. Angalia usimkatae tu uliyeambiwa ni mfalme Wa soka
u know nothing about Diego. Nenda jijini Naples ukaulize jinsi gani alivyoibeba na kuirudisha S.S Napoli katika mstari!
Wenzako walijitahidi sana lakini wapiHuyo ningekuwa namkaba mimi asingefanya huo ushoga
Basi haya yote mjomba pele alikuwa anayatenda bila tabu kwa ufanisi mkubwa tena katikati ya uwanja unaofanana na ule mkwakwani au majimaji ya songea(Kiwanja kibovu)Kwa kuzingatia mambo haya
1: Dribbling skills
2: Vyenga
3: Asist
4: Kulijua goli
5:Solo run (Kuwaungisha watu tela kama alivyowafanya Madrid baada ya kususiwa pasi na Ghost agent Sergio Bousquet)
6: Kuchana/Kukatiza mazingira magumu kama alivyowafanya Atletico Bilbao kwenye Copa Delay nimesahau mwaka.
MESSI THE FORMULAR THE MAGICIAN.
Mkuu hujamfatilia huyu babu.. Imagine vitu alivyofanya mwaka 50 kweusi huko ingekuwa leo angekuwaje..Hamna kitu, his best goals ziko youtube na ni magoli ya kawaida sana.
Pele anajuq kilichomsibu 66 alitaka na kuacha kucheza mpira kabisa kwa yale yaliyomkuta..Hajui Huyo,kuna muItaliano mmoja anaitwa CLAUDIO GENTILE alitembea na Maradona na Zico iyo world cup 1982 Italy kachukua ndoo magoli ya Rossi, Gentile alipoulizwa anawajibu "football is not for ballerinas" Kadi zilikua hamna,hawa mabeki wenu wa saivi lainilaini kina Hummels kina Pique,Leo Ramos anaonekana mbabe anacheza rafu,Chiellini anaoneakana mgumu,wakati enzi hizo za "Battle of Santiago" wangeogopa wakimbilie nyumbani.
Au anamjua ANDONI GOIKOETCHEA "the butcher of Bilbao" Alichokua anamfanya maradona kila wakikutana!
Eti mabeki mashoga shoga uyo jamaa kaanza kuangalizia wapi mpira!
Kwangu niyaani napata shida sana kumkubali Maradona mtu anayekumbukwa kwa mechi mbili tu!just 2 matches zimpe ufalme wa dunia!!hapana!Kwangu Messi amemuacha mbali sana Maradona,ni vile Cv ya maradona inabebwa na kuchukua kombe la dunia tena maramoja tu....Pele amewazidi wote kwa CV bora iliyotukuka na kuwa Most Completed Player.
Nina clip kama zote za babu pele.. Pelle alikuwa nuksi.angalieni clip hapo juu,vijana wanarudia tu vile mfalme pele alifanya miongo kadhaa nyuma!!!
Kwangu ni
Pele
Messi
Maradona
Hawa wawili nimewafatilia mnooo zaid ya sana, huyu mmoja namshuhudia kila siku.
Wabishi huwa hawakosekani mkuu.Hii Orodha yako ni ukweli ulioidhinishwa hadi mbinguni,mtu asinibishie,afe akifika mbinguni atakutana nayo hii list!!!
Zico ni second tier,kama kina Cruyff,Ronaldo wote,Zidane,Garrincha,Puskas,De Stefano and the likesZico nae vipi
Nina clip kama zote za babu pele.. Pelle alikuwa nuksi.
Enzi hizo hakukuwa na offside full kuvizia na mabeki walikuwa mashoga shoga
Unikumbusha Garrincha na Didi kilikuwa kikosi cha Brazil enzi ya PeleZico ni second tier,kama kina Cruyff,Ronaldo wote,Zidane,Garrincha,Puskas,De Stefano and the likes
Sababu babu pele si saiz yao.Maradona & Messi hawana mpizani.