BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
1. Ronaldhinyo
2. Messi
3. Pele
4. Maradona
Duh! Gaucho tena,, hapo ndio umeharibu kabissa 😀😀😀😀😀 sawa huo ni mtazamo wako siwezi kukulaumu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Ronaldhinyo
2. Messi
3. Pele
4. Maradona
U can't compare Pele na Messi ndungu, ni sawa wewe tuku-compare na mzazi wako, different things. Hawa viumbe wameishi ktk nyakati tofauti kabisa. Pele amebeba ndoo tatu za kombe la dunia wakati wake, Messi hajabeba hata kombe moja hata la America ya kusini. Messi anacheza mpira Europe miaka yake yote, Pele hajawahi kucheza mpira Europe bali Latin America na USA. Hawa ni watu wawili tofauti, you can't compare them at all.
chuki zinakusumbua, ama kufata mkumbo, ama hujamtazama kabisa.. ntajie wewe unaemuona ni bora kuliko pele, na uniambie kamzidi nini pele.Wakawaida mno
Wazungu wabaguzi Maradona kwa vile anaasili ya waisrael ndo maana Pele hawamwongelei sana, Hata Etoo alitakiwa awe mchezaji bora katika kipindi chake lakini wapiUkipata fursa nyingine,mtazame na Diego Armando Maradona. Angalia usimkatae tu uliyeambiwa ni mfalme Wa soka
offside imeanza muda gani, tuanzie hapa, ongezea na linesman maana mnakariri story za vijiweni ndio mnatuletea hapaAta welbeck ni bora kuliko uyo aliyecheza mpira kipindi hamna offside
1.pele
2.messi
3.maradona.
bado hujajibu yale niliyoyahitaji.Acha uongo pelle ni wa kawaida tu huwa simtofautishi na Giroud
Mie list yangu ni
Pele
Ronaldinho
Maradona.
Gaucho nadhani!Namba 3 ni nani
Hili mimi nilikuwa silijui kabisa, kumbe ni sisi wabongo tu ndio tunaomuita Pele kuwa king wa futiboli, nilidhani duniani kote ilishakubaliwa hivyo, tena wambea wanasema ni baada ya mnyukano mkali kati yake na Maradona, kumbe hata tatu bora hawamo, Duh!Mkuu vipi aise....Kitu kinajulikana kabisa alafu wewe unatuletea shombo hapa,, umemcheki pele tu, Diego umemcheki pia??? Walikuwepo Puskas, Cruiff, Alfredo de stefano n.k umewacheki????
1-King
2-Hakuna kabisa, huu ndio ukweli anaebisha abishe mpaka apasuke
3-King Diego
4-Pele
5-Alfredo de Stefano
6-Cruiff
7-Zidane
8-Requelme
9-Cr7
10-Puskas
11-Di lima
Enzi za pele watu walikuwa wanajifungia kiholela/hovyo, ,, offside mtu anajipigia anavyotaka,,yani mpira wa zamani ulikuwa vichekesho sana 😀 sheria hakuna, yellow n red cards sidhani kama zilitumika wakati huo....lakini mtu ukimwambia haya maneno haamini. Wabongo ndivyo tulivyo....twendelee kusubiri viwonder ifikapo 2050.
Huyo kaandika kwa mapenzi yake binafsi.. dunia nzima inamtambua pele kama namba moja.Hili mimi nilikuwa silijui kabisa, kumbe ni sisi wabongo tu ndio tunaomuita Pele kuwa king wa futiboli, nilidhani duniani kote ilishakubaliwa hivyo, tena wambea wanasema ni baada ya mnyukano mkali kati yake na Maradona, kumbe hata tatu bora hawamo, Duh!
Maradona hakuwa mtu mzuri kabisa. Huyo jamaa alikuwa anapiga cross kwa tiki taka na mpira unafika sehemu husika. Tena mara nyingi alikuwa anazitupia ndani ya kumi na nane afu raia wanamalizia kiulaini kabisa.Ukipata fursa nyingine,mtazame na Diego Armando Maradona. Angalia usimkatae tu uliyeambiwa ni mfalme Wa soka
1: Nnhhhhhhhh!!!!!!!,,, We jamaa acha masihara.Huyo Andunje mtoe bana
We jamaa noma sana, umenikumbusha mbali sana. Mara ya mwisho mi najiunga Bush Star, Mapun'go anasajiliwa Real Madrid ilikuwa majonzi sana.Golden Boy Mapungo
Kubeba kombe la Dunia sio tatizo. Kwa mfano: David Villa /Juan Mata wamebeba kombe la Dunia mara moja, je ni bora zaidi ya Leon Messi The Magician kwa uwezo wakukokotoa mpira?Ni kosa kubwa kumlinganisha Pele aliyebeba ndoo tatu za kombe la dunia na Messi. Kwanza hawa viumbe wameishi ktk nyakati tofauti kabisa. Mlinganishe Messi na mpinzani wake Cristiano Ronaldo sio Pele au Maradona ni kosa la ufundi sana.
Ulidhani nami mkuu nimeingia choo chake cha kike? Ni dizaini tu ya kuwalimisha watu wabishi niliyoichagua, na huwa hawajibu, wanabanwa kwenye kona wenyewe.Huyo kaandika kwa mapenzi yake binafsi.. dunia nzima inamtambua pele kama namba moja.
Halafu kumfananisha mpishi wa karne za kale hata majiko ya gesi hayakuwepo na mpishi wa sasa unapika kwa rimoti, pia ni mapungufu. Pele wa miaka hiyo na Dhihno, mtu aliyezicheki clip kibao za wakongwe, akajifunza kwazo, wapi na wapi. Naamini hata ukimuuliza Okocha, atakwambia nina mtu niliyejifunza kwake.Kuna jamaa mmoja huku kwetu huwa ni muongo sana, sijawahi kuona mtu muongo Dunia nzima kama huyu jamaa. Lakini ukimwambia we jamaa muongo sana achana na sisi bana huwa anajibu Leon Messi ndiye muongo kuliko watu wote kwasababu anapiga vyega uwanja mzima na kupenya sehemu zisizopenyeka.
# Lakini huwa namwambia jamaa ni sawa ila kuna mizee huko zama za zamadamu ilishafanya balaaa za kutosha kwenye ulimwengu wa mpira hanielewi namuonyesha mpaka video za zamani za kina babu Pele na mzee wa cross kwa tiki taka Maradona hanielewi kabisa.