Safi sana; na Mkaachana kwa Amani na Upole kiaina.Nishawakuta hapo posta Benjamin Mkapa, nikamwambia nimetoka nyumbani na mambo mengine hiyo habari kununua simu Sina ratiba hiyo ,ving'ang'anizi nikawambia kesho.
Hapana. Ingekuwa hivyo watu wangeibiwa vibaya sana.Huwa wanakunusisha(Vutisha bila ww kujua) scopolamine (Burundanga). 😱
Duu FUVU la leo hili, kuulizwa ushahidi unakuwa mkali kwahio just tuamini kwasababu umesema.Kwa hiyo unataka kutuaminisha vinginevyo? Na ww tutakutaka ulete Ushahidi.
Watu wengi ambao wametapeliwa kwa njia hiyo huwa wanaona aibu kusema kuwa walidanganywa na maneno wakajikuta wameingia mkenge. Wengi husingizia kuwa wanafanya mambo bila kujijua ili kuondoa aibu.Kwa hiyo salamu ilikua tam hadi akaifuata akaenda kuhonga na hela na simu au sio
Kwani huyo mdada aliyefikishwa Bagamoyo unadhani alienda kwa kupenda au alikuwa kama Zombie/Hajijui?. Watu hawajitangazi wakiibiwa ila mikasa na vituko vya aina hiyo vipo mkuu tusijitoe Ufahamu kktk hilo.Hapana. Ingekuwa hivyo watu wangeibiwa vibaya sana.
Mimi nazungumza nikiwa na uzoefu. Hakuna kitu kama kupumbuzwa. Kungekuwepo na huo uwezekano usingetembea mjini. Pia wadada wazuri wazuri wengi wangepumbazwa na kwenda kubakwa. Wanasema wamepumbazwa ni aibu ya kusema walidanganywa na maneno.Kwani huyo mdada aliyefikishwa Bagamoyo unadhani alienda kwa kupenda au alikuwa kama Zombie/Hajijui?. Watu hawajitangazi wakiibiwa ila mikasa na vituko vya aina hiyo vipo mkuu tusijitoe Ufahamu kktk hilo.
Jamaa kasema kwamba Matapeli hao walikuwa Mbagala... ww ukamtaka akupe ushahidi. Manake hukubaliani naye au vp. Lakini isiwe shida 🏃♂️🏃♂️🏃♂️.Duu FUVU la leo hili, kuulizwa ushahidi unakuwa mkali kwahio just tuamini kwasababu umesema.
Mimi nilete ushahidi kwani mimi nimesema matapeli yaani sawa na uende dukani umwite muuza duka tapeli tunaomba ushahidi then wewe unataka tutee ushahidi tulio-kuhoji ushahidi.....Dog it Dog Thinking.
Unaongelea uzoefu usiojua...mtu anaugua 3 months na kidogo afe halafu bado unasema eti alidanganywa na maneno anaona aibu kusema. Jf inawajuaji sanaMimi nazungumza nikiwa na uzoefu. Hakuna kitu kama kupumbuzwa. Kungekuwepo na huo uwezekano usingetembea mjini. Pia wadada wazuri wazuri wengi wangepumbazwa na kwenda kubakwa. Wanasema wamepumbazwa ni aibu ya kusema walidanganywa na maneno.
Hiyo kitu Scopolamine(Burundanga) ina uwezo wa kufuta memory kwa muda na ukizinduka hukumbuki chochote ila unajikuta huna mali au vitu vyako na hujui vimetowekaje. Mbinu hiyo imetumika sana hapa Tz kuwaibia wasafiri, kuwarubuni watu wanaotoka Bank (kuchukua fedha) n.k.Mimi nazungumza nikiwa na uzoefu. Hakuna kitu kama kupumbuzwa. Kungekuwepo na huo uwezekano usingetembea mjini. Pia wadada wazuri wazuri wengi wangepumbazwa na kwenda kubakwa. Wanasema wamepumbazwa ni aibu ya kusema walidanganywa na maneno.
WHAT THINKING IS THIS JF BAN THAT USELESS DUDE....nimeomba ushahidi THAT hukubaliani naye ni nini.Jamaa kasema kwamba Matapeli hao walikuwa Mbagala... ww ukamtaka akupe ushahidi. Manake hukubaliani naye au vp. Lakini isiwe shida 🏃♂️🏃♂️🏃♂️.
Tuelewane kwanza maana wabongo huwa ni kama mmechanjiwa kwa ubishi. Dawa za kulewesha zipo. Narudia: dawa za kulewesha zipo na nimeshaona cases za watu kulazwa hospital kwa miezi baada ya kuwekewa dawa. Huyo huenda alilishwa dawa. Ninachokataa ni dawa ya kupumbaza, eti mtu anakuwa anatembea lakini hajijui.Unaongelea uzoefu usiojua...mtu anaugua 3 months na kidogo afe halafu bado unasema eti alidanganywa na maneno anaona aibu kusema. Jf inawajuaji sana
Achana nae huyo jamaa analeta ujuaji wa fb humuHiyo kitu Scopolamine(Burundanga) ina uwezo wa kufuta memory kwa muda na ukizinduka hukumbuki chochote ila unajikuta huna mali au vitu vyako na hujui vimetowekaje. Mbinu hiyo imetumika sana hapa Tz kuwaibia wasafiri, kuwarubuni watu wanaotoka Bank (kuchukua fedha) n.k.
Upo huru kukataa...Tuelewane kwanza maana wabongo huwa ni kama mmechanjiwa kwa ubishi. Dawa za kulewesha zipo. Narudia: dawa za kulewesha zipo na nimeshaona cases za watu kulazwa hospital kwa miezi baada ya kuwekewa dawa. Huyo huenda alilishwa dawa. Ninachokataa ni dawa ya kupumbaza, eti mtu anakuwa anatembea lakini hajijui.
Umezungumza jambo la Point sana, huo pekee ni utapeli kwasababu niliyoambiwa mwanzo ni tofauti kabisa na niliyo kutana nayo, na kale kamadam sikukaona tena kalijua kamenidanganyaKumwambia mtu kwamba aje huku ashinde zawadi kama ni mteja wa muda mrefu bila kumwambia kwamba kuna hela inatakiwa kuipata hiyo zawadi ni aina fulani ya utapeli.
Yani hata kama si kumtapeli mtu moja kwa moja, unaanza kumvuta mtu kwa kutumia false advertisement.
Yani kama mtu ana shughuli zake anawahi, halafu anajikuta kapoteza dakika kumi akifikiri anashinda zawadi ya T-Shirt bure kwa kuwa mteja wa siku nyingi tu, akajikuta kabadilishiwa kibao anunue simu, ambayo hata haihitaji, huo ni utapeli.
Wangemwambia tangu mwanzo mpango wote.
Madam,Nishawakuta hapo posta Benjamin Mkapa, nikamwambia nimetoka nyumbani na mambo mengine hiyo habari kununua simu Sina ratiba hiyo ,ving'ang'anizi nikawambia kesho.
Chief upo sahihi Kabisa1. Wanatumia udhaifu (take advantage) kwamba wanaume wengi huwa ni "dhaifu" mbele ya mwanamke.
2. Wana-take advantage kwamba wabongo wengi hupenda vitu vizuri lakini kwa bei ndogo. Tunapenda vya mteremko a.k.a Kwa sadala.
3. Wanajua kwamba ss Wabongo hatunaga bajeti au Mipango ambayo ni "Very Tight and Rigid" -tuko very flexible na tamaa kwa wingi hususan tunapokuwa na fedha japo ni kidogo.
4. Wabongo wengi wanakuwa na aina fulani ya Ulimbukeni na hutaka/hupenda makuu au kuonekana -show off. Unatamanishwa simu ya laki moja lakini unaambiwa leta hata buku 5 tu malipo mengine baadaye 😵 😵 😵. Ukijichanganya Unapigwa.
MkuuKuna wengine walinifata hvyo hvyo nikawambia mm Ni afsa wa police Leo mmeingia kumi na nane za serekali
Nikaonesha ishara ya kusonga mbele kwa nguvu kumsukuma ndio akajuwa Niko serious nikawambia leo mtalala ndani mseme mko wangapi mnawatapeli watu
Mmoja kasema afande tuweza kuongea plzz plz
"Nikawambia twende tukaongeaa kituoni Huku nampigia jamaa angua ambae nae anajuwa kujifanyaga police faster nae akarespond vzr nikamuambia njoo na pira Kuna matapeli nimewadaka demu akaona Niko serious akapiga magoti kuomba msamaha yaishe tusifike mbali
Ndio nikawasikiliza kwa haraka nikawammbia mnataka kusema nn Seema haraka kbla wezangu hawajaja hapa
Akasema iko 30k Kash nikamuambia acha ujinga unatapeli watu Kisha unipe elf 30k ngoja utajuwa hujui akaongeza akafika
50k walitoa palepale nikaisimamisha boda inatembee nikapanda nikawaachia vumbi na Dole la Kati ,mm baaada ya kukaa vzr kwenye boda
Nikapata zangu 50k ya matapeli
DahKuna dem alitapeliwa mwisho wa mwaka jana ,alitoka bank akakutana na jamaa nje ya bank..jamaa kamsalimia afu dem akaitikia ndio ikawa nitolee hiyo, yaani dem akajikuta anamfuata jamaa hadi kwenye gari. Wakaingia dem wakamkalisha siti ya nyuma katikati,pembeni kuna watu wawili. Wakaenda hadi karibu bagamoyo wakamshusha. Dem akabaki kazubaa zaidi ya lisaa, hadi konda wa daladala alipomuuliza vp unaenda ndio akashtuka na kuanza kupiga wayowe. Watu wakajaa dem akazimia..peleka hospital akazinduka kesho yake..simu hana,pochi hana.... bahati nzuri kuna namba ya dadaake anayokichwani ndo kupigiwa wakaja mchukua. Dem aliumwa balaa akawa kama anamapepo...hadi kumletea shehe ndo hali ikaanza badilika kupata nafuu. Miez mitatu ndo dem kaanza kurudi kawaida ila bado anapata ganzi miguuni hadi sasa.
HahahKuna wengine walinifata hvyo hvyo nikawambia mm Ni afsa wa police Leo mmeingia kumi na nane za serekali
Nikaonesha ishara ya kusonga mbele kwa nguvu kumsukuma ndio akajuwa Niko serious nikawambia leo mtalala ndani mseme mko wangapi mnawatapeli watu
Mmoja kasema afande tuweza kuongea plzz plz
"Nikawambia twende tukaongeaa kituoni Huku nampigia jamaa angua ambae nae anajuwa kujifanyaga police faster nae akarespond vzr nikamuambia njoo na pira Kuna matapeli nimewadaka demu akaona Niko serious akapiga magoti kuomba msamaha yaishe tusifike mbali
Ndio nikawasikiliza kwa haraka nikawammbia mnataka kusema nn Seema haraka kbla wezangu hawajaja hapa
Akasema iko 30k Kash nikamuambia acha ujinga unatapeli watu Kisha unipe elf 30k ngoja utajuwa hujui akaongeza akafika
50k walitoa palepale nikaisimamisha boda inatembee nikapanda nikawaachia vumbi na Dole la Kati ,mm baaada ya kukaa vzr kwenye boda
Nikapata zangu 50k ya matapeli