Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,897
Anasomea sifa sio kumake pesa mim nikisoma sana ntakomea degree ova sitak menginee
That means hata degree kumbe bado wewe?kila la kheri ila ujue tu kusoma kwa baadhi ya watu ni "adiction" yani kuna watu wanakuwa adicted na kusoma na hutokea tu, so it might happen hata kwako binamu, wengi walisema kama wewe lakini wakajikuta they need more and more