Acha dharau nawewe kozi ya kike ni ipi na yakiume ni ipi?? Achana na mfumo dume hao haohao maprofesa na madokta waliosoma hizo kozi mnazoziita za kike ndio wanaowafundisha dada zenu na wake zenu hiyo Sociology au DS vyuoni.
Nafanyia application mahakamani nikiwa nimetinga suti..pembeni nimepaki Fortuner...yenye 22 inches rim...black tinted windows with custom leather seat...whatchu say...??Kumbe ujui inako tumika hiyo uko dunia gani wewe aisee hebu jaribu hata ku google tu utapata majibu hamna kozi ya kike wala ya kiume na kuna ma profesa wengi wa sociology na mambo ya development studies hebu nionyeshe degree yako unaifanyia wapi application yake
Nafanyia application mahakamani nikiwa nimetinga suti..pembeni nimepaki Fortuner...yenye 22 inches rim...black tinted windows with custom leather seat...whatchu say...??
Nafanyia application mahakamani nikiwa nimetinga suti..pembeni nimepaki Fortuner...yenye 22 inches rim...black tinted windows with custom leather seat...whatchu say...??
That means hata degree kumbe bado wewe?kila la kheri ila ujue tu kusoma kwa baadhi ya watu ni "adiction" yani kuna watu wanakuwa adicted na kusoma na hutokea tu, so it might happen hata kwako binamu, wengi walisema kama wewe lakini wakajikuta they need more and more
Utabisha utakubali sociology ni degree ya kike 90% ni wadada...
Kama umesoma vyuo hivi Udsm, Udom utaelewa nini kusoma kozi ya sociology...sociology ni kozi ya kidada 90% wanaosoma ni wadada...complete wastage of time ni kusomea masters of development studies....no wonder this dude is stressed out...anaongea ongea tu sitaki kazi..ni sawa sawa na kusomea Early Child Hood Development...unataka uwe mwalimu wa chekechea? piga ua katika maisha ukiwa na msingi weak kielimu u end up having a weak life in the future kama hauchakariki
That means hata degree kumbe bado wewe?kila la kheri ila ujue tu kusoma kwa baadhi ya watu ni "adiction" yani kuna watu wanakuwa adicted na kusoma na hutokea tu, so it might happen hata kwako binamu, wengi walisema kama wewe lakini wakajikuta they need more and more
Kama umesoma vyuo hivi Udsm, Udom utaelewa nini kusoma kozi ya sociology...sociology ni kozi ya kidada 90% wanaosoma ni wadada...complete wastage of time ni kusomea masters of development studies....no wonder this dude is stressed out...anaongea ongea tu sitaki kazi..ni sawa sawa na kusomea Early Child Hood Development...unataka uwe mwalimu wa chekechea? piga ua katika maisha ukiwa na msingi weak kielimu u end up having a weak life in the future kama hauchakariki
Queen Sheba asante kwa kuwaambia ukweli mtupuSmh.. unadharau wanaosomea ECDE kisa wanafundusha chekechea... no wonder kesho utaponda elimu ya bongo mbovu kwa kuzoea watoto wenu wafundishwe na form four failures maana ndio mnaona wana hadhi ya kufundisha watoto...
Mnafikra mgando badilikeni
Bado nasoma na umri unaniruhusu sijaruka stage na nakaribia kufikia napotaka namaliza mjadala,siendeleiii
Queen Sheba asante kwa kuwaambia ukweli mtupu
wakumbuke mwenye elimu mwenye elimu na hakuna ya kike wala ya kiume zote ziko applicable ktk maisha
watz tuache fikra mgando kuna wakaka na hizo mnazoita degree za kike wanakula goodtime na hao wenye za kiume wapo juu ya mawe mf:mdogo wangu amegraduate medicine SUA anamaliza soli za viatu kwa mainterview kila siku
hvyo tusipondane kuna "scale of preference"kwa kila mtu cha msingi tumpe moyo huezi jua anafocus nini
Usirudie kumfananisha Niki na Nyerere. Nyerere elimu imemsaidia, niki elimu haijamsaidia mpaka leo ndio maana anaangaika angaika.
Hhhha elimu yake inampa ninii sasa kusoma kote huko anauza tishet,hizo kozi nazo mmmhhh
Kuna watu hawataki kabisa kusikia Nick anasoma Phd mara hajafanya kazi mara alishasema hataki kuajiriwa, guys kuweni wapole afanye kile ambacho anaona ni sahihi kwake kama umemaliza bachelor yako ukakimbilia ajira na mkopo wa gari and now its too late kurud shule mana wanao nao wanataka ada kodi nayo ni tatizo vitz nayo inataka mafuta kausha you chose that life usihamishie stress zako kwa watu acha asome hata akimaliza Phd akaendelea kuimba its oky for hime he is responsible for his life btw tutakuwa na mwanamuziki mwenye Phd is that not enough!?
Thumb up Nick
Nina uhakika wewe una elimu ya chuo kikuu na unaijua vzr!.waache wajitangaze na sociology zao. Halafu mwanaume? Shame!
Hahahah na kweli degree zake za kike...ata sisi wa kike hatusomi hizo tena
Ahahahahahah KIUKWELI HATA MI SIJAONA MANTIKI YA KUJITANgAZA