brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,287
Acha dharau kwa hiyo wadada wote waliosoma Sociology hawajielewi wanataka nini??????
if the course is not applicable wangeshaitoa siku nyingi... imagine somebody ambae amesoma three years then she come across your comment.....
Ni uvivu huo...watu kibao wanagraduate hio kozi na bado wanasota kupata kazi then bado tu utasikia wengine wanaenda kusoma kozi hiohio,,hahaha amakweli umaskini tunautaka kwa nguvu....nawapa pole watakaopita hapo na kukwazika ila ndo nilishasema na neno langu wala si sheria waendelee kusoma tu hizo kozi meanwhile wajanja wachache wazidi kujipiga hela huko kwenye kozi wanazohisi ni ngumu