Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,112
...kuna kozi ukimaliza huna hata stress za kazi...na huyo nikki anaongeza hadi PhD kwasababu foundation yake ni mbovu kwani uongo
As if unachofanya wewe kina maana...... mentality ya kwamba lazma uajiriwe Nw2 ndo anapingana nayo hasa. Na taratiiibu anaishinda