Nikiamka namna hii aisee siku huenda vizuri sana

Nikiamka namna hii aisee siku huenda vizuri sana

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Bila shaka mu bukher wa Afya wana Jf.

Mi binafsi namshukuru Mungu kwa afya njema

Mi napenda sana nikiamka basi simu yangu iwe

Full Charge..

Iwe na Bando la Kutosha (Dakika na Gb)

Mtandao uwe na kasi

basi siku yangu huenda vizuri sana maana 80% ya utafutaji wangu upo online..
Screenshot_20220306-070249.png


Muwe na week end Njema
 
Bila shaka mu bukher wa Afya wana Jf.

Mi binafsi namshukuru Mungu kwa afya njema

Mi napenda sana nikiamka basi simu yangu iwe

Full Charge..

Iwe na Bando la Kutosha (Dakika na Gb)

Mtandao uwe na kasi

basi siku yangu huenda vizuri sana maana 80% ya utafutaji wangu upo online..
View attachment 2140545

Muwe na week end Njema
VPN?
 
Tecno Yako Leo Umeijaza Yote Inapumua Kwa Jeuri
 
Bila shaka mu bukher wa Afya wana Jf.

Mi binafsi namshukuru Mungu kwa afya njema

Mi napenda sana nikiamka basi simu yangu iwe

Full Charge..

Iwe na Bando la Kutosha (Dakika na Gb)

Mtandao uwe na kasi

basi siku yangu huenda vizuri sana maana 80% ya utafutaji wangu upo online..
View attachment 2140545

Muwe na week end Njema
Salio lenyewe ni 242
 
Back
Top Bottom