Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
VPN?Bila shaka mu bukher wa Afya wana Jf.
Mi binafsi namshukuru Mungu kwa afya njema
Mi napenda sana nikiamka basi simu yangu iwe
Full Charge..
Iwe na Bando la Kutosha (Dakika na Gb)
Mtandao uwe na kasi
basi siku yangu huenda vizuri sana maana 80% ya utafutaji wangu upo online..
View attachment 2140545
Muwe na week end Njema
Ndio umemaliza au unaendelea kuandikaVPN?
Hebu zoom hii picha bwana kaka inaweza kukuliwaza kidogo😂😂Vema.Ila,usiongee sana na simu hadi magego na ulimi viume.
Mtu anaenda kumkojoza mwenzieHebu zoom hii picha bwana kaka inaweza kukuliwaza kidogo😂😂
View attachment 2140561
Anataka agawiwe MBs!Hebu zoom hii picha bwana kaka inaweza kukuliwaza kidogo😂😂
View attachment 2140561
Siyo watapeana zamu?Mtu anaenda kumkojoza mwenzie
Nampa hii vpn itamsaidia kupata free mbAnataka agawiwe MBs!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tecno Yako Leo Umeijaza Yote Inapumua Kwa Jeuri
Nakwambia hapa imejaa na inakimbia kwa speed ya 4G.Tecno Yako Leo Umeijaza Yote Inapumua Kwa Jeuri
Salio lenyewe ni 242Bila shaka mu bukher wa Afya wana Jf.
Mi binafsi namshukuru Mungu kwa afya njema
Mi napenda sana nikiamka basi simu yangu iwe
Full Charge..
Iwe na Bando la Kutosha (Dakika na Gb)
Mtandao uwe na kasi
basi siku yangu huenda vizuri sana maana 80% ya utafutaji wangu upo online..
View attachment 2140545
Muwe na week end Njema
hahahaha noma sana, wanaenda unganisha vikojoleo siyoHebu zoom hii picha bwana kaka inaweza kukuliwaza kidogo😂😂
View attachment 2140561