proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
- Thread starter
-
- #121
Ila wapo wanaolalamika eti bora ningesomaHili nalo neno...mi ambao nimewaacha na std seven naona wana watoto wengi tu basi...lkn kimaendeleo bado!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha mbavu zangu jamani hadi sina hamu.
BCOMHabari Mtoa mada. Umesomea nini ngazi ya chuo ?
Kwa kweli no escapeMaana ya kusoma sana mpaka chuo kikuu uwe mbunifu kutawala maisha yako mtakufa maskini kusubiri kuajiriwa.
Mshukuru Mungu kwa hapo ulipofikia kwani nafasi na muda wako umeutumia vizuri kama huyo asiyesoma alivyo tumia,swala hapa ni muonekanao wa matokeo ya matumizi ya huo muda!ya mwenzako yameshaoneka kwa macho lkn ya kwako bado yako kwa ndani!so ni swala la muda tu mkuu!Elimu ni kitu muhimu mno!Nikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Ahaaaa kutekwa tena mkuuuWakat Naanza Chuo 4YA, nilisema nikimaliza degreee naendelea zaid mbele,
leo hii nona yale ndo mawazo ya kiwango cha juu kabsa cha ujinga wangu, binafsi nahc ukishapata ile elimu ambayo kwako n basic edctn, basi itumie hio kutafta maisha, Kuendelea kusoma iwe 4 leasure o more targets, sio unapiga kitabu ukiulizwa kulikon unakurupuka et nataka mshahara mkubwa, Nyambafuuuu naomba utekwe
Niliosoma nao primary school wengine anaitwa bibi lakini kila mtu na maisha yakeNikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Umenikumbusha mbali sana,nakumbuka wakati naanza kazi mwaka 2011 nilikua na rafiki yangu mmoja ambaye yeye alikua na duka LA ....... ambalo lilikua ni Dogo sana kiasi kwamba wakati Mwingine ilinilazimu nimkopeshe mshahara wangu ili aweze kuongeza matajiNikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Cheza BIKO baba ikishiñdikana betNikiwaangalia marafiki niliomaliza nao darasa la saba wameshajenga tena nyumba za kisasa, wana magari wameshaoa wana biashara za kueleweka lakini mimi niling'ang'ania kusoma hadi chuo kikuu, ajira sina, chochote sina hadi mademu naogopa kutongoza angalau nipate mke jamani, maisha ni kazi kweli kweli.
Mkuu nime take note ya first paragraph yako na kuiweka hivi "ukiyawaza sana haya maisha unaweza usifanye chochote"Aisee ukiyawaza haya maisha unaweza usifanye chochote
Yan umesoma mpaka akili ikaota sugu af unakuja kuajiriwa na mtu aliekimbia shule akiwa darasa la3
Kweli maisha ni kama gharide ukisikia nyuma'sgeuka wakanza anakua wa mwisho.
Anyway, mkuu ulipo umefika ulipopataka, kazi utapata mhimu mshirikishe Mungu maana kwenye maisha amna alietangulia.
Unafikiri wangesoma wote nani angemwajir mwenzake au tusingesoma wote nani angemuongoza mwenzake
VIDOLE VYA MIKONO HAVILINGANI LAKINI VINAFANYA KAZI PAMOJA
Mkuu kwan wew msomi unatafsiri kam MTU wa namna gan?Siku zote wasomi hawajawi kuwa matajiri ww subili kuajiliwa na kutumwa na hao ulio waacha std 7. "ngumu kumeza".
Kuiga lazima mbona kuna ambao wameiga na wakafanikiwa...USIIGE MAISHA. LIVE UR LIFE.
Hapo sasa labda anafikiri walioenda sekoMkuu kwan wew msomi unatafsiri kam MTU wa namna gan?
Mwenye level gan ya elimu ndo umuite msomi?
Mwambie bora arizikeMkuu nime take note ya first paragraph yako na kuiweka hivi "ukiyawaza sana haya maisha unaweza usifanye chochote"
Haha bahati nasibuCheza BIKO baba ikishiñdikana bet