Nikienda Sokoni namuungisha mfanyabiashara Mwanaume na kumuacha mfanyabiashara Mwanamke Kwa sababu zifuatazo:

Nikienda Sokoni namuungisha mfanyabiashara Mwanaume na kumuacha mfanyabiashara Mwanamke Kwa sababu zifuatazo:

9. Wanawake wengi (sio wote) wanadhani kila mwanaume kazi yake kubwa na ya kwanza hapa duniani ni kuwatongoza wanawake. Kwa dhana hiyo potofu ukienda kununua kwake(Kumuungisha) yeye cha kwanza atakachoona ni kwamba wewe umejisogeza karibu naye na unalengo la kuanzisha mahusiano. Ndo mana wanawake wanaotoa Huduma ni wafuatiliaji sana na hutunza kumbukumbu za wateja wageni wanaoingia sokoni. Hili linaenda sambamba na ile namba 3 . " .......Wanawake wengi mtazamo waô ni kuwa mwonekano na mvuto wao ndîo utakaoleta wateja".

Sahihi Kabisa Mkuu
 
Tatizo linakuja pale unaweka msimamo mara ghafla unamwona mmama yupo dukani na binti ake Mzuti hlf anakuambia....

Njoo mkwe wangu tuongee, au yule binti na macho yake mazuri na t*ko anakuambia njoo kaka mzuri

UTANUNUA TU HATA UKIBISHA HAPA...
Mbona imeandikwa(Mwanzo.2:24) “Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili moja”.?
 
We naye zoba ,pesa ni zako halafu unapangiwa matumizi na huyo malaya , ulitakiwa umpe jibu moja kama hivi " kapangie matumizi pesa za mmeo sio zangu "
 
Wanaume tunapitia struggles Kali kuliko katika maisha .
Maisha ya wanaume ni kama maisha ya mbwa koko .
Huwa na support sana efforts za wanaume ,
 
Hilo #5 ni hakika na ukweli mtupu. Mwanamke hata kama ni mwajiriwa Serikalini au Sekta binafsi na ameolewa(Ni mke wako) bado atasubiri au kudai matumizi kutoka kwa mume na hatojali kwamba wewe mume unabangaiza e.g. vibarua n.k. na kuna siku unaambulia patupu. Wanawake huwa wana ghubu sana, hawaishi kulalamika na hawaridhiki na kile wanachojaliwa kupata.
Kwenye hili nina mifano ya marafiki zangu wanne wa Kazini ambao wake zao pia ni Wafanyakazi

Pamoja na kwamba wake zao pia wanafanya kazi na kulipwa Mishahara lakini pesa ya Matumizi nyumbani kuanzia ya mboga hadi kulipia bill ya Maji analipa Mume.

Nilipata nafasi ya kuongea na Shemeji mmoja wapo, alisema Jukumu la kuhudumia familia ni la Mume kwahiyo mshahara wake ni wake pekee na Mume hana mamlaka nao 🙌
 
Kwenye hili nina mifano ya marafiki zangu wanne wa Kazini ambao wake zao pia ni Wafanyakazi

Pamoja na kwamba wake zao pia wanafanya kazi na kulipwa Mishahara lakini pesa ya Matumizi nyumbani kuanzia ya mboga hadi kulipia bill ya Maji analipa Mume.

Nilipata nafasi ya kuongea na Shemeji mmoja wapo, alisema Jukumu la kuhudumia familia ni la Mume kwahiyo mshahara wake ni wake pekee na Mume hana mamlaka nao 🙌
Ni shidaa. Imeandikwa tuishi nao kwa akili........(1Petro3:7).
 
Umeongea uhalisia kabisa mkuu. Kuna binti nipo nae kwenye mahusiano kama mwezi sasa, juzi nikamuamsha awahi kazini kwa kusema ''amka ukatafute ada ya mwanetu atakayezaliwa hapo mbeleni'', (nilikuwa natania). Alijibu kimasihara tu that, ''kumbe na mimi natakiwa kutafuta ada?'' Kimoyomoyo nikacheka sana.
 
Wavaa kobazi wameambiwa na mudi ndugu wa mvaa kobazi ni mvaa kobazi mwenzake nami nasemaje ndugu wa mwanaume ni mwanaume,ndugu yangu ni mwanaume mwenzangu
 
Hata customer care ya mitandao ya simu, mimi nikiwa na tatizo nikipiga namba 100 ntahakikisha narudia rudia hadi nimpate mwanaume ndo namweleza shida.
 
NIKIENDA SOKONI NAMUUNGISHA MFANYABIASHARA MWANAUME NA KUMUACHA MFANYABIASHARA MWANAMKE KWA SABABU ZIFUATAZO:

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Íwe ni Mabibo SOKONI, iwe ni Kariakoo, íwe ni Karume au sehemu yoyote inapofanywa biashara Taikon Master nitakapokuta biashara Ambazo kûna Mwanamke na Mwanaume Basi nitaenda kununua bidhaa Kwa mfanyabiashara Mwanaume.

Juzi jumatatu nilienda Mabibo Sokoni kuhemea mahitaji ya Nyumbani. Nilipofika kama kawaida yàngu nikaanza mahitaji yàngu . Sasa kumbe kûna mwanamama mmoja alikuwa akinifuatilia, nilipofika Eneo la matunda, ndizi, àmbapo Yule Mama yupo, nikaenda Karibu yake na kununua ndizi kwa kijana aliyejirani yake. Nilipomaliza nikashangaa Yule Mama ananitania;
"ñàona unawaungisha Wanaume Wenzako tuu"
Nikashtuka.
Nikamwambia hamna.
Akaniambia hii ni mara ya tatu toka nimekuona soko hili. Ukifika unanunua Kwa Wanaume.

Nikabaki nashangaa Moyoni nikisema kumbe kûna Watu wanafuatilia nyendo zangu nikifika Hapa Sokoni.
Akaendelea, hivyo viazi Ulaya umechukulia Kwa Yule Mzee pale, hivyo vitunguu na karoti kule Kwa Masai, hizô Nyanya nimekuona pale Kwa Juma, Hilo papai pekee tuu ndîo umenunua Kwa Mwanamke. Ila Vitu vyote vilivyobaki umenunua Kwa Wanaume wenzako.

Wauzaji wengine na Watu wakawa wanashangaa, Mimi nikasema siô kweli lakini muuzaji wa ndizi akawa ananitetea kuwa kwani kuna shida gàni Mimi kufanya hivyo. Mimi nikaondoka zangu.

Zifuatazo ni sababu zinazonifanya mara nyingi nikienda Sokoni au kwèñye Maduka kuwaungisha Wanaume kuliko Wanawake;

1. Huduma Bora.
Hapana Shaka Wanaume wengi wanajua Kutoa huduma nzuri kuliko Wanawake Karibu Kwa kîla sekta.
Kauli nzuri Kwa wateja. Wanaume wana- customer care nzuri kuliko Wanawake.

2. UPEO NA UELEWA.
Wanaume wengi wanaupeo Mkubwa kuliko Wanawake linapokuja Swala la Bidhaa au huduma.
Unaweza kujaribu kupata msaada hata Tanesco customer Care utagundua kuwa Wanaume wanajua Vitu vingi kuliko Wanawake.

Ûkienda kununua labda Simu au redio au TV au Fridge. Mwanamke hawezi kukupa maelezo mazuri yaliyonyooka kama Mwanaume.

3. Mwanaume anamtazamo Bora kuliko Mwanamke katika biashara.
Mwanaume anajua huduma yake nzuri ndiyo itakayompa wateja lakini Wanawake wengi mtazamo waô ni kuwa mwonekano na mvuto wao ndîo utakaoleta wateja.
Hii inafanya Wanawake Kuwekeza Ñguvu nyingi kwèñye mwonekano waô kuliko ujuzi na Kutoa huduma Bora Kwa wateja.

4. Wanawake wengi Wana Kasumba Mbaya.
Wanawake wengi wanatoa huduma Kwa kuangalia mwonekano wa mteja lakini pia Kulingana na mteja jinsi atakavyoonyesha uwezo wake.
Hii ni tofauti na Wanaume wengi ambao huhudumia mteja yeyote na kumpa huduma nzuri Bila kujali mwonekano wake.

5. Pesa ya Mwanaume ni Pesa ya jamii lakini Pesa ya Mwanamke mara nyingi huwa Yake na Watoto wake tuu.
Nikimuungisha Mwanaume ninauhakika jamii yôte imepata Pesa akiwemo Mwanamke lakini nikimuungisha Mwanamke kûna Asilimia kûbwa hiyo Pesa asiipate Mwanaume. Kwani kwèñye jamii Pesa ya mwanamke ni ya Mwanamke na Pesa ya Mwanaume ni yawote.
Hiyo inanifanya Bora nikamuungishe Mwanaume ili familia na jamii ipate Pesa.

6. Kuimarisha Familia na Ndoa.
Kadiri Mwanaume anavyofanikiwa ndivyo familia yake inavyoimarika na kustawi na Mke wake anazidi Kumpenda na kujivunia kuwa na Mume mwenye mafanikio
Lakini kadiri Mwanamke anavyofanikiwa ndivyo uwezekano wa familia kuanguka unavyozidi kuwa Mkubwa.

Kwangu kumuungisha Mwanamke ni kama kumpa Ñguvu na ya kuivunja Ndoa na familia yake.

7. Wanawake wengi wanadharau wakifanikiwa.
Simuungishi Mwanamke kutokana na tàbia zào za kudharau Wengine. Hasa pale wanapokuwa wamefanikiwa.
Nimeshawaona wengi. Hawaishii tuu kudharau Waume zao Bali hata kudharau Wanaume wôte Maskini waliopo mbele Yao.

Kudharau Wanawake wenzao.
Wanawake wengi siô kwamba wamefanikiwa kivile. Labda anakibiashara chake kinamuingizia labda Milioni Moja hizô dharau kwèñye jamii atakazozionyesha siô pouwa. Ndîo maana Sisi Watibeli tunajua nini chakufanya kwèñye Kesi za kibiashara.

Mwanamke anafanya biashara na anapata Pesa lakini hataki kuchangia pato la Nyumba yake anamuachia Mumewe kîla kitu. Sasa huyo unamuungisha wa Kazi gàni?

8. Analea Watoto pekeake alafu anawapa Sumu ili waje wamtukane Baba Yao.
Wanaume sisi tunalea Watoto na hata Siku Moja hatujawahi kuwaambia Watoto wetu wawadharau Mama zào, au hatuwezi kuwaambia Watoto kuwa Siku mkifanikiwa msisaidie Mama zenu.
Lakini Wanawake wengi wanaolea Watoto waô wènyewe Kwa kutelekezewa Watoto huwapandikiza Sumu Watoto waô kuwachukia Baba zào.

Mimi Taikon nikisikia mwanamama analalamika kuhusu kulea Watoto wake mwenyewe na kumlaumu Mwanaume aliyemzalisha huyo Bidhaa Zake au huduma Zake siwezi kumuungisha.

Mpaka Ile dhana potofu itakapoondoka Kwa Wanawake kuwa jukumu la Maisha Yao lipo Kwa Wanaume.
Mwanamke lazima ajue Maisha yake Yapo juu yake mwenyewe. Lazima Afanye Kazi.
Asimtegemee Mwanaume Kwa sababu akishamtegemea lazima awe na Sumu ya Lawama.
Awe na uwezo wa kulea Watoto wake atakaowazaa mwenyewe hata kama Siku Mumewe wakiachana íwe Kwa talaka au Kwa KIFO.

Ukizaa Watoto ni jukumu lenu wôte wawili kuwalea Watoto hao. Wôte Kwa pàmoja.

Kama ilivyo Kwa Sisi Wanaume tukiachiwa Watoto hatuwezi kuhitaji msaada wa Pesa au mahitaji Kutoka Kwa Mama wa Watoto ndivyo hivyohivyo Wanawake wawe hivyo.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
mwamba Taikon
 
Back
Top Bottom