Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka afufuke mkuu🤣🤣🤸🤸🤸Hivi mbona mnapambana na marehemu au na nyie mshakufa tunajibizana na maiti/Mizoga humu?
Ni historia ya nchi yetu tunajikumbushaHivi mbona mnapambana na marehemu au na nyie mshakufa tunajibizana na maiti/Mizoga humu?
Kama tunamjadili Mwl Nyerere,Idd Amin Dada & Adolf Hitler,huyo Mwendazake ni nani asijadiliwe.Hivi mbona mnapambana na marehemu au na nyie mshakufa tunajibizana na maiti/Mizoga humu?
Hivi kweli ina endelea! Kusema ukweli, ulizia watu, wengi watakwambia kwamba hatuna habari yoyote kwamba miradi inaendelea. Maana kwa miaka sita ya awamu ya tano, tulizoeshwa kila hatua ya mradi tulijulishwa : kipande cha reli (SGR) kutoka Dar - Moro, bwana MwanaNtara alikuwa anatueleza imefika wapi na nani wametembelea mradi na % ngapi zimeisha kwisha.Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama
JPM alikuwa na akili kubwa sana hata mtukane. Katika ujenzi wa SGR alianza Dar - Moro kisha Moro- Makutupora. Kisha akaruka kwenda kuanza Isaka - Mwanza ili kumlazimisha successor wake kuunga Makutupora - Isaka. Vinginevyo watu wangesema tuishie Makutupora tujenge bandari kavu hapo.Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama
Alikuwa anawaaminisha huo utoto wajinga,alikufa Nyerere achilia mbali kung'atuka sembuse yule mihemko?Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama