The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Hao ni wahuni tu wanachi wenyewe ndio watamkumbuka.Nani atamkumbuka Sasa. Wakati unajionea mwenyewe anapondwa kila uchwao upinzani na ccm wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wahuni tu wanachi wenyewe ndio watamkumbuka.Nani atamkumbuka Sasa. Wakati unajionea mwenyewe anapondwa kila uchwao upinzani na ccm wenyewe
Kwani na mi ni mhuni? We bashiru weweHao ni wahuni tu wanachi wenyewe ndio watamkumbuka.
Akili ni nywele Kila mtu ana zakeHizo taasisi zilikuwa wapi siku zote mbona hazikujenga SGR na BWAWA LA UMEME?
TAASISI ZA MAFISADI hizo ndio maana JPM aliamua kuwa jeshi la mtu mmoja.
Mnajibaraguza tu, ila mnajua yule jamaa ni CHUMA.
Kagua kichwa chako, huenda kimejaa topeHuwa napata wasiwasi juu ya Uwezo wa akili Alonao Mtanzania anayemtukana JPM, Huwa Nahisi vichwan ni mbumbumbu .
Mimi popoma nitalaumuje vyombo vya habari ambavyo vimeacha kuwajibika awamu hii? Kumbe na wewe asiye popoma (sijui kinyume chake!) umeona kwamba vyombo vya habari awamu hii havitendi wajibu wao! Sasa kwa taarifa yako siyo vyombo vya habari tu! Hata wewe asiye popoma (hivi mtu ambaye siyo popoma anaitwaje?) unafurahia hali hii ambayo watu hawawajibiki! Lakini utawasikia hao hao wanataka wakiamua asubuhi wakute Tanzania imebadilika imekuwa Canada! Hakuna Bodaboda, Mama Ntilie zote zimegeuka KFC, MACDONALD, CHICKEN LICKEN, NANDOOS, DEBONAIRS pizza, etc.Laumu vyombo vya habari vyetu ambavyo siyo inquisitive. Rais hapaswi kujipigia debe mwenyewe kwamba tumefikia hapa au pale no huo ni ushamba na ulimbukeni. Ile culture ya jpm ilipaswa ipingwe na watu wenye akili ispokuwa we popoma
Those days...Ila jamaa alitupeleka mchaka mchaka wa hatari, dah noma sana!!! Amani ilitoweka si mtaani wala kwenye mitandao ya kijamii!!! Mtaani tunaogopana!!! Trafiki na TRA waliwaka moto aisee!!! Watu hatujui kesho tunaamka na mwelekeo gani na taifa letu!!!
Viherehere wa JF kina GENTAMYCINE na Erythrocyte na sisi wengine tulikuwa tunawindwa kama swala!!! Una log in ukiwa chooni hata unaelala nae humuamini kwenye username ya JF!!! Ilikua kasheshe na nusu!!! Full mtanange!!!
Zero IQ huyu mwamba alikua anatupoza roho na nyuzi zake za kuwala wake za watu kwenye kibanda chake cha chips!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaongea ushuzi baridi. Muhadithie bibi yakoNimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Mbona anaposifiwa hamlalamiki?! Vumilieni upande wa pili pia.Hivi mbona mnapambana na marehemu au na nyie mshakufa tunajibizana na maiti/Mizoga humu?
Kila mtu aliguswa kwa namna take mkuuHuwa napata wasiwasi juu ya Uwezo wa akili Alonao Mtanzania anayemtukana JPM, Huwa Nahisi vichwan ni mbumbumbu .
Hata hakisifiwa kwakwe haina faida yoyote jamaa hasikii wala hawezi kujibu chochote,ila sisi ambao bado tunapumua yanatukela sana maneno ya Mafisadi na watu kaka zitto,Lemma na Mbowe kumshambulia mtu ambaye keshakufa.Mbona anaposifiwa hamlalamiki?! Vumilieni upande wa pili pia.
Yaani jamaa lilikuwa SHAMBA SANA!!!Ila tulikuwa tumeingizwa kwenye mtumbwi wa vibwengo.Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Mkuu hao ndio waliokuwa wanakula mema ya nchi!!sasa lazima wapagawe tena bora angekuwa amestafu wangekuwa wamejiandaa!!sasa hii ya KUKATA MOTO GHAFLA TU!!ni hatari sana.Sasa hivi wako hoi huko.Au we ndo mbumbumbu hukuwaga na huruma kwa watu wanaouawa na jpm kama nzige vile. We uliona sawa tu
Nchi Imekua na miradi wakati jpm anapima kemikali za kutengeneza fanta,acha ujinga...jakaya kafanya miradi mingapi!?Ile kauli ya JPM ilikuwa kauli ya nasaha kwa wale wanaobaki nyuma yake!
Bila hiyo kauli Miradi ingekuwa imeshatelekezwa yote!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Halafu akalaghai wajingawajinga wa kumuona sio kama binaadam wengine maana yeye ni wa kutawala milele. Wajinga wakaanza kufikiria kumuita mungu na nabii kuliko manabii wote.Mhuni tu hana lolote.
Nahisi wengi wao usikute wanaishi nje ya nchi. Ila inasikitisha sana kujitafutia laana. Ndiyo maana kile ki ngo cha Mbowe kilishajifia kwa sababu ya kumtukana JK, leo hii wanajaribu kujipendekeza kwa JK ili awasamehe wakati siyo rais na mamlaka iliyotukanwa ipo tena ina kumbukumbu ndiyo maana ngo hiyo it will never amount to anythingHuwa napata wasiwasi juu ya Uwezo wa akili Alonao Mtanzania anayemtukana JPM, Huwa Nahisi vichwan ni mbumbumbu .
Kazi kweli kweliNimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
😅😅😅Halafu akalaghai wajingawajinga wa kumuona sio kama binaadam wengine maana yeye ni wa kutawala milele. Wajinga wakaanza kufikiria kumuita mungu na nabii kuliko manabii wote.
Kwa kweli kumbe tukiambiwa ni masikini sio shekeli tu hata akilini umasikini wa hatari na huu wa kichwani ndo unatutafuna kama cancer kila nyanja ya kijamii iko hoi🤔