pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Kile kichwa hakikuwa sawa hata kdg, na bado kuna mijitu humu inamsifia kichaa mwenzao sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu fala sana na viukoka vyakeJamaa alikua boya sana
Hebu tuambie nini kimefanyika mkuu, usiongee bila evidencesYule Mwendazake alikuwa anawa-blind watz wajinga
Ebu ona Mama anavyofanya Mambo Makubwa bila kelele in short Tz Kuna watu wajanja wajanja Kama huyo Magufuli.
Kama babayakoJamaa alikua boya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Ila jamaa alitupeleka mchaka mchaka wa hatari, dah noma sana!!! Amani ilitoweka si mtaani wala kwenye mitandao ya kijamii!!! Mtaani tunaogopana!!! Trafiki na TRA waliwaka moto aisee!!! Watu hatujui kesho tunaamka na mwelekeo gani na taifa letu!!!
Viherehere wa JF kina GENTAMYCINE na Erythrocyte na sisi wengine tulikuwa tunawindwa kama swala!!! Una log in ukiwa chooni hata unaelala nae humuamini kwenye username ya JF!!! Ilikua kasheshe na nusu!!! Full mtanange!!!
Zero IQ huyu mwamba alikua anatupoza roho na nyuzi zake za kuwala wake za watu kwenye kibanda chake cha chips!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza unatakiwa kujiuliza JPM kabla Hajafa hii hii MIRADI yote iliyo anza kwenye utawala wakeAir tanzania hoi, sgr hoi, MNHP hoi, wizi umerudi, mashara kazini yamerudi. Niambie ni mradi upi upo kwenye timing iliyowekwa yote ipo nyuma ya mda kwa mwaka mzima
JPM alikuwa na PhD feki, hata kiingereza alikuwa hajui, sijui alipata wapi moral authority kukagua vyeti vya wenzakeNdio maana kwenye upande wa siasa JF siizingatii sana ukilinganisha na other platforms.
Humu watu wanatumia fake IDs, ni rahisi mtu mmoja anaweza kua ana ID hata nane humu. You can imagine kama alitemwa na vyeti vyake feki au alibaniwa dili zake za upigaji ni jinsi gani atazitumia ID zake kumanipulate chuki zake humu ikaonekana watu wengi wanamponda hayati. Kumbe nyuma ya pazia ni kijana mmoja tu yupo na smartphone yake ana-log in na ku-log out.
Ukitaka good political analysis kaa na watu mtaani. Tulia ktk vijiwe vya boda boda, wauza kahawa, kaa na wazee mbali mbali kwenye soga zao hutosikia wakimponda JPM. The same applies ukiingia Insta, Twitter na Facebook ukijichanganya kumponda JPM hutobaki salama, kila mtu atakushambulia.
Alijua bila yeye hakuna TanzaniaNimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Alikuwa mpiga dili mkuuKwanza unatakiwa kujiuliza JPM kabla Hajafa hii hii MIRADI yote iliyo anza kwenye utawala wake
Ilianza lini? Na hadi umauti unamkuta ilikuwa ipo asilimia ngapi?
Then jiulize toka SSH alipo kuwa RAIS hadi sasa hiyo miradi ipo asilimia ngapi kwa sasa?
MIRADI ipi MIPYA imeanza chini ya utawala wake then conclude hiyo analysis yako utapata jibu lililo sahihi kabisa .
Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Alikuwa mla rushwa hatari snmagufuli alimjengea kabula hotel ya kebbys ple bamaga. aliuza nyumba za umma kwa ndugu yake
kabisaAlikuwa mla rushwa hatari sn
Sisi tuna wasiwasi na uwezo wako.Huwa napata wasiwasi juu ya Uwezo wa akili Alonao Mtanzania anayemtukana JPM, Huwa Nahisi vichwan ni mbumbumbu .
Watu walivyokuwa wanamsifia na kutaka aongezewe muda wa Kubakia madarakani ila inashangaza kuona amekufa watu wameyasahau mengi aliyofanyaNimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Mimi naoan huyu Rais aliyepo sasa kama huwa anapita humu nataka nimshauri jambo moja muhimu sana.Alikuwa mpiga dili mkuu
Yule alikua jambazi sugu 2025 tutawanyoosha ubunge watausikua hewaniNimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.