Nikifa miradi hii nani ataiendeleza: Hayupo, na nchi inasonga na miradi kedekede

Nikifa miradi hii nani ataiendeleza: Hayupo, na nchi inasonga na miradi kedekede

Hoja ni.. nan ataweza kuendeleza! Alianzisha miradi muhimu san hakuna anaepinga kwa maendeleo ya Taifa! But hoja akiondoka hakuna wa kuendeleza kwamba he was special hakuna mwanadam angeweza kuendeleza aliyoanzisha? Hii ilikua brainwashing na mkaingia mazima!!
Yule Mwendazake alikuwa anawa-blind watz wajinga

Ebu ona Mama anavyofanya Mambo Makubwa bila kelele in short Tz Kuna watu wajanja wajanja Kama huyo Magufuli.
 
Ile ilikua brainwashing!! Na wajinga wakaingia chaka, hakuna kiongoz ambae atafanya miradi flani halaf mwingine ashindwe kufanya au kuendeleza!! Hii ni moja ya hoja nilikua naipinga awamu ya tano, yaan kufanya yeye ndie alikua bora wengine hawawez??
ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU
 
Hoja ni.. nan ataweza kuendeleza! Alianzisha miradi muhimu san hakuna anaepinga kwa maendeleo ya Taifa! But hoja akiondoka hakuna wa kuendeleza kwamba he was special hakuna mwanadam angeweza kuendeleza aliyoanzisha? Hii ilikua brainwashing na mkaingia mazima!!
Ilikuwa dharau ya wazi kabisa yaani! Ujue Kuna vitu yakitamkwa na mtu unajua kabisa moyoni mwake kumejaa nini!
 
Air tanzania hoi, sgr hoi, MNHP hoi, wizi umerudi, mashara kazini yamerudi. Niambie ni mradi upi upo kwenye timing iliyowekwa yote ipo nyuma ya mda kwa mwaka mzima
Hiyo air tz lini imekuwa sawa!!!
Endekea kuamin uongo wa maghuu wa mashirika ya umma kutoa gawio serikalin huku ripoti ya CAG ikisema yanahitaji ruzuku ili yajiendeshe
 
Mimi popoma nitalaumuje vyombo vya habari ambavyo vimeacha kuwajibika awamu hii? Kumbe na wewe asiye popoma (sijui kinyume chake!) umeona kwamba vyombo vya habari awamu hii havitendi wajibu wao! Sasa kwa taarifa yako siyo vyombo vya habari tu! Hata wewe asiye popoma (hivi mtu ambaye siyo popoma anaitwaje?) unafurahia hali hii ambayo watu hawawajibiki! Lakini utawasikia hao hao wanataka wakiamua asubuhi wakute Tanzania imebadilika imekuwa Canada! Hakuna Bodaboda, Mama Ntilie zote zimegeuka KFC, MACDONALD, CHICKEN LICKEN, NANDOOS, DEBONAIRS pizza, etc.
Ccm ndo iliwapa elimu duni hawajui walipoti Nini waache kipi. Kwa elimu duni hii ndo mana wasomi wengi wanakimbilia kuendesha bodaboda na vicoba na wanaona ni ajira muhimu sana kwao. Ccm imdhaharibu nchi sana ndo mana huwezi kumuona mtoto wa nchemba au waziri yeyote anasoma shule za public kwa sababu hawaamini elimu yetu huko.

Vyombo vya habari kwa Sasa viko huru Dana tofauti na enzi za giza za jpm ambapo watu walikuwa wanajipigia tu bila kuogopa lakini elimu Yao duni ndo shida. Usiwalaumu wao laumu elimu zao na ilaumu ccm kwa kuwafanya hivyo kwa sababu hiyo ni instrument Yao muhimu kubaki madarakani
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.

hzi hizi taasisi silikua zinashindwa hata kubuni miradi wala kusolve issue ya folen ubungo kimara mbezi??
 
Ukuenda mtaani, Twitter au Insta kila mtu anamsifia na kumkumbuka JPM, ukiingia JF kila mtu anampondea JPM kuna siri gani hapa?
Ndio maana kwenye upande wa siasa JF siizingatii sana ukilinganisha na other platforms.

Humu watu wanatumia fake IDs, ni rahisi mtu mmoja anaweza kua ana ID hata nane humu. You can imagine kama alitemwa na vyeti vyake feki au alibaniwa dili zake za upigaji ni jinsi gani atazitumia ID zake kumanipulate chuki zake humu ikaonekana watu wengi wanamponda hayati. Kumbe nyuma ya pazia ni kijana mmoja tu yupo na smartphone yake ana-log in na ku-log out.

Ukitaka good political analysis kaa na watu mtaani. Tulia ktk vijiwe vya boda boda, wauza kahawa, kaa na wazee mbali mbali kwenye soga zao hutosikia wakimponda JPM. The same applies ukiingia Insta, Twitter na Facebook ukijichanganya kumponda JPM hutobaki salama, kila mtu atakushambulia.
 
Ukuenda mtaani, Twitter au Insta kila mtu anamsifia na kumkumbuka JPM, ukiingia JF kila mtu anampondea JPM kuna siri gani hapa?
Jamiiforums ni kitalu cha propaganda.

Humu kumejaa mashushushu uchwara wanao-shape fikra za watu.

Actually unaweza kukuta ni lijamaa fulani lina ID hata ishirini mahususi za kumchafua Magufuli. Ni kazi amepewa.
 
Ukuenda mtaani, Twitter au Insta kila mtu anamsifia na kumkumbuka JPM, ukiingia JF kila mtu anampondea JPM kuna siri gani hapa?
Hawa ni mashushushu uchwara wanaotengeza propaganda.

Mwaka 2015 kabla ya uchaguzi palizuka ID nyingi za kumsifu Magufuli na kumpamba kwa kila hali.

Unaweza kukuta ni kikosi kazi cha watu kumi tu kimepewa computers kwa ajili ya kumanipulate fikra za watu mtandaoni.

Hawa mauchwara waliojaa humu kwa multiple ID hawana ajenda wala itikadi, wanajaliii pesa na majizi waliowatuma.
 
Back
Top Bottom