DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Yule Mwendazake alikuwa anawa-blind watz wajingaHoja ni.. nan ataweza kuendeleza! Alianzisha miradi muhimu san hakuna anaepinga kwa maendeleo ya Taifa! But hoja akiondoka hakuna wa kuendeleza kwamba he was special hakuna mwanadam angeweza kuendeleza aliyoanzisha? Hii ilikua brainwashing na mkaingia mazima!!
Ebu ona Mama anavyofanya Mambo Makubwa bila kelele in short Tz Kuna watu wajanja wajanja Kama huyo Magufuli.