Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Jesus pia tunamjadili, hahaaaaKama tunamjadili Mwl Nyerere,Idd Amin Dada & Adolf Hitler,huyo Mwendazake ni nani asijadiliwe.
Mkuu upi unaoenndelea ama unajifariji tu. Bwawa la umeme ba reli yana miaka karibu 3 ya kuchelewa, kws maaana yalitakiwa yaanze operation 3 years back, viwanja vya ndege vyote vimesimama, stands mikoa yote zimesimama kwingine wanafugia kware na mbuzi,Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Kumbka hii kauli ndo imekua siraha na mlinzi wa miradi aloianzisha, walitamani kuipiga chini lakin kauli ya mwendazake inailinda miradi hiyo iweze kuendelezwa japo kinyongeNimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.
Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.