Mhubiri 3: 1-8Kwamba "Sisi vijana tuache majivuno,kama ni pesa Ruge alikuwa nazo kuliko msanii yoyote yule. Kama ni umaarufu Ruge alikuwa maarufu kuliko msanii yoyote yule,Kibonde alikuwa na pesa kuliko msanii yoyote yule,lakini leo hii hawapo tena duniani,chuki,dharau,nyodo na majivuno hayana maana tumalize tofauti zetu dunia tunapita"....
Swali ninalojiuliza kwa nini hii kauli imetolewa wakati huu na sio wakati ule?
Uadui wa Kusaga na Jide ni kwa sababu ganiHivyo vyombo najua anamiliki,lakini ulimsikia alichokiongea msiban,kazungumzia msamaha na watu wasamehane,akawambia watu pale makaburini wapeane mikono na moja ya wa maadui zake ni Jidei.Haiwezekani wewe uhubiri msamaha na kupendana,wakati wewe huishi kile ulichokizungumza,mwisho wa siku utakuwa MNAFIKI.
Msikilize Kusaga vizuri.
Tafuta uzi humu wa JF utaona .comment aliyoiandika Jide na ilisambaa sana social network.LADY JAY DEE: WOSIA WANGU IKITOKEA NIMETANGULIA KUFA KABLA YA RUGE NA JOE KUSAGA - Darvel ForumUadui wa Kusaga na Jide ni kwa sababu gani
naona mlibishana sana, ni kwamba umaarufu ni swala pana sana, huyo boss wa Clouds alizungumzia umaarufu wa connection ndani na nje ya nchi sio umaarufu wa kujulikana tu mitaaniWapi nimeandika Aslay anapesa?au kuwa na Pesa na Umaarufu Ni kitu kimoja? uwe unasoma vizuri na kutafakari kabla ya kujibu.
La pili...wewe kuanza kumjua Ruge na Kibonde kabla ya Aslay ndo point unayotumia kutetea kuwa wao ni maarufu kuliko Aslay? Mbona wengi tumewajua kabla ya Diamond na siyo Maarufu kuliko yeye.
Unamuongelea huyu Aslay anayejulikana mpaka na watoto si mijini wala vijijini.
Stations za Uganda..Kenya...Burundi...Rwanda..Congo n.k wanacheza nyimbo za Aslay na unasema siyo maarufu?Kwahi muktadha upi?
Kibonde wanamjua Kenya au huyo Ruge kwa impact gani?watakuuliza ndo nani?