Nikiitafakari ile kauli ya Kusaga,bado sipati jibu....

Mhubiri 3: 1-8
 
Uadui wa Kusaga na Jide ni kwa sababu gani
 
Hajamlenga mtu yoyote ni maneno ya kawaida tu hasa unapokuwa umepoteza watu muhimu kwako. Maneno mazuri ya kukumbushana tu yote tunayofanya yana mwisho na kuwa umaarufu au pesa ndio itakusaidia maana kuna watu mabilionea lakini walifia Hospitalini huku wakipewa matibabu bora kabisa. Kina Steve Jobs alisema haya wakati akiwa hana muda wa kuishi tena. Na hili sio funzo kwa matajiri tu hata sisi maskini unaweza kuwa maskini lakini wewe kuudhi watu kuumiza watu na hizi nasaha ukihudhuria misiba yote tunakumbushwa lakini sisi binadamu muda ukipita tunasahau kidogo na sehemu kama hizi vizuri kukumbushana. Hakuna mtu msafi ila tujitahidi kufanya mazuri. alichosema Kusaga ni kitu kinaongelewa sana tu katika misiba na hakuna sehemu nzuri ya kujitafakari zaidi ya kwenye mazishi.
 
naona mlibishana sana, ni kwamba umaarufu ni swala pana sana, huyo boss wa Clouds alizungumzia umaarufu wa connection ndani na nje ya nchi sio umaarufu wa kujulikana tu mitaani
Ruge amekuwa na umaarufu wa connection kwenye biashara kabla ya wasanii wote na mpaka anakufa huenda alikuwa maarufu sana kwenye ulimwengu wa biashara kuliko wasanii wote hapa Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…