SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Moja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume.
Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .
Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni wanakuja tu kuharibu maisha ya watoto wako. Kabisa ..... hauoni leo ila baadaye wakitaka kuoa , kupata kazi , kuoelewa, kutafuta riziki hapo sasa mnaanza usumbufu usio hitajika.
Labda huyo mtu awe anajitambua . Aisee maana watu ni wanafiki sana.
Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .
Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni wanakuja tu kuharibu maisha ya watoto wako. Kabisa ..... hauoni leo ila baadaye wakitaka kuoa , kupata kazi , kuoelewa, kutafuta riziki hapo sasa mnaanza usumbufu usio hitajika.
Labda huyo mtu awe anajitambua . Aisee maana watu ni wanafiki sana.