Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Weka akiba ya maneno dada. Hakuna aijuaye kesho yake.Sitaenda hata
Waswahili walisema, hujafa hujaumbika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka akiba ya maneno dada. Hakuna aijuaye kesho yake.Sitaenda hata
Siendi kwa ndugu wala sina marafiki nipo tu na mchumba wanguMiaka 15 unaota? Au ya nini?
Aje tu, mimi nina chumba cha wageni 🤣🤣🤣Ngoja aje usiondoke😅😅😅
Hii ndo nimeiona tena kwa closed friendAnaweza kupanga ndugu wasije kwake, halafu yeye akaishia kwenda kwa ndugu 🤣🤣🤣
Uchumba wa miaka 15!! Hilo dildoSiendi kwa ndugu wala sina marafiki nipo tu na mchumba wangu
Ukishakuja JF tayari una marafiki, kimtandao, labda hujui tu.Siendi kwa ndugu wala sina marafiki nipo tu na mchumba wangu
😅😅😅 SweetyCandy ukuje kuna chumba chako hukuAje tu, mimi nina chumba cha wageni 🤣🤣🤣
Watu wanapenda kujimwambafy sana, kwa fantasy.Hii ndo nimeiona tena kwa closed friend
Moja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume.
Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .
Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni wanakuja tu kuharibu maisha ya watoto wako. Kabisa ..... hauoni leo ila baadaye wakitaka kuoa , kupata kazi , kuoelewa, kutafuta riziki hapo sasa mnaanza usumbufu usio hitajika.
Labda huyo mtu awe anajitambua . Aisee maana watu ni wanafiki sana.
Halafu wewe nakustukia mshashi sana.😅😅😅 SweetyCandy ukuje kuna chumba chako huku
Ameshindwa wapi na vipi mkuu? Funguka.Wewe umeshahindwa mapema sana kabla ya kuanza. Watu wa hivyo mwisho wao ni mbaya kuliko mwanzo
🤣🤣🤣🤣 si umemkaribisha mwenyeweHalafu wewe nakustukia mshashi sana.
Style ya wale watu waliokuwa wanaweka mchanga kiganjani na kuwaambia watu "puta, puta" ili zipigwe tu uangalie mpambano 🤣🤣🤣
Mimi watoto wa kike sipendi sana maneno nao ujue.
Mie najimaizi kuwa mtubora, wote mwakaribishwa.🤣🤣🤣🤣 si umemkaribisha mwenyewe
Hii ni kweli kabisa akawa ombaombaAnaweza kupanga ndugu wasije kwake, halafu yeye akaishia kwenda kwa ndugu 🤣🤣🤣
Wapi tutimbe?Mie najimaizi kuwa mtubora, wote mwakaribishwa.