Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Sio kuimudu.Ya mungu mengi ila hiyo familia una uhakika utaweza kui mudu kwa akili zako hiz za Jf??
Ana uhakika atakuwa nayo kwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kuimudu.Ya mungu mengi ila hiyo familia una uhakika utaweza kui mudu kwa akili zako hiz za Jf??
Hivi unajua why nimesema hivyoo na unajua umri wangu?? Unajua nimepitia mangapi ??Ngoja ukue utayaelewa maisha.
Mtoa mada ni tofauti na wewe, na mazingira ya nchi uliyopo, Labda kama yupo ughaibuni, anataka abakie yeye na mumewe tu hataki ndg wa upande wowote, jirani, wachungaji nk kibongo bongo hiyo ni haiwezekani hata uwe unajiweza vipi kiuchumiKwa kweli mpaka sasa mimi si mtu wa kutembelea watu sana.
Na ingawa nambana mtoa mada, naelewa sana anavyofikiri, kwa sababu hata mimi nimepitia huko.
Sasa hivi kuna mambo mengi sana, na hata tunapombana mtoa mada ajifikirie zaidi, inatubidi tumuelewe. Maneno mengine hayasemwi bure, inawezekana kapitia, kaona au kasikia kitu cha kumpa sababu nzuri za kupanga anavyopanga.
Kuhusu mimi, kuna wakati nilikuwa na focus sana kwenye mambo yangu, kusoma, kuji establish katika kazi, kula bata mwenyewe, kuanzisha famikia yangu.
Halafu, baada ya kuji establish mwenyewe, kuweka himaya yangu, kuanzisha familia yangu, nikaona umuhimu wa kuwa na mahusiano na jamii, familia. Hata kama si kila mtu, kuwa na watu wangu wachache ambao nakuwa nao karibu. Nikawa hata kama sihitaji ku interact na kila mtu, kuna key focal points za jamii, wale viongizi, nakutana nao, nawatembelea. Na wao wananitembelea.
Najivunia sana uwezo wa kuwa na kwangu na ndugu zangu, jamaa na marafiki wakifika Marekani wawe na sehemu ya kufikia.
Mathalani mwaka juzi kuna vijana wawili wa familia (extended) wamekuja kuanza chuo Marekani, wadogo sana, mara yao ya kwanza kuja Marekani, hawamjui mtu. Nikaenda JFK Airport hapa New York kuwapokea, wakakaa nyumbani kwangu siku chache, nikawapeleka mpaka chuoni kuwaandikisha, sasa wanakaribia kumaliza chuo. Wanajua kuwa Marekani kina nyumba ni kwao, wana sehemu ya kufikia.
Kuna kijana kaja mwaka jana kutoka Tanzania kama scholar hapa Marekani, nimekaa naye sikunkadhaa, kafurahi sana kukutana na Mtanzania Marekani.
Kuna mtoto alikimbia kwao Houston akija New York City, kitu cha hatari sana kwa kuwa kuna watu wanateka watu. Nikapigiwa simu na famikia kutoka Dar kumtafuta na kumchukua, akakaa kwangu mpaka alivyopata kutukia na kurudi kwao.
Sasa kaka mkubwa balozi asiye rasmi wa famikia moja ya function yangu ni kuwa na sehemu ambayo ndugu zangu wanaweza kufikia. Nikisema nifunge vioo hata sababu ya mimi kuwa nililo inaondoka.
Ila pia, naelewa matatizo mengi ya kijamii yanayoweza kusababisha watu wafunge vioo.
Issue si kufunga vioo au kutofunga vioo, issue ni kuwa na chujio la kujua unamruhusu nani awe karibu nawe na nani humruhusu.
Naelewa ukifungua madirisha ili hewa safi iingie, unaweza kuruhusu nzi waingie ndani. Lakininunaweza kuweka wavu hewa safi iingie na nzi wasiingie.
Ukiwafungia sana watu vioo, unaweza hata kujifungia wewe mwenyewe advantages fulani.
Unafikiri mtu humu ndio kule kiuhasiliaYa mungu mengi ila hiyo familia una uhakika utaweza kui mudu kwa akili zako hiz za Jf??
Wanakuwinda tu wakishakupatia utakuja toa post unaomba ushauri hujielewiMtoa mada ni tofauti na wewe, na mazingira ya nchi uliyopo, Labda kama yupo ughaibuni, anataka abakie yeye na mumewe tu hataki ndg wa upande wowote, jirani, wachungaji nk kibongo bongo hiyo ni haiwezekani hata uwe unajiweza vipi kiuchumi
Ndio maana nikamwambia anaota, sababu yeye binafsi anaweza kuishi hivyo ila sio kwa mwenzi au watoto nk
Mi pia si mpenda muingiliano hivyo lakini sio kama mtoa mada
Nikipatiwa we unateseka na nini kwani?😅Wanakuwinda tu wakishakupatia utakuja toa post unaomba ushauri hujielewi
Hakuna ila usije ukatusumbua na mada zakoNikipatiwa we unateseka na nini kwani?😅
Kwahiyo unatupotezea muda na mauongo yako haya !?Unafikiri mtu humu ndio kule kiuhasilia
Tangu nakua mpaka sasa nazeeka nimekua nikiamini na nitaendelea kuamini kuwa wakubwa wanakutana baa/BAR sio majumbani.Moja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume.
Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .
Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni wanakuja tu kuharibu maisha ya watoto wako. Kabisa ..... hauoni leo ila baadaye wakitaka kuoa , kupata kazi , kuoelewa, kutafuta riziki hapo sasa mnaanza usumbufu usio hitajika.
Labda huyo mtu awe anajitambua . Aisee maana watu ni wanafiki sana.
Wewe una miaka 33 haushuki 30 na hauzidi 35Hivi unajua why nimesema hivyoo na unajua umri wangu?? Unajua nimepitia mangapi ??
Hizi ni kelele za chura tuHakuna ila usije ukatusumbua na mada zako
Lakini kasema hatajifungia kabisa watu fulani wanaojielewa atawafungulia.Mtoa mada ni tofauti na wewe, na mazingira ya nchi uliyopo, Labda kama yupo ughaibuni, anataka abakie yeye na mumewe tu hataki ndg wa upande wowote, jirani, wachungaji nk kibongo bongo hiyo ni haiwezekani hata uwe unajiweza vipi kiuchumi
Ndio maana nikamwambia anaota, sababu yeye binafsi anaweza kuishi hivyo ila sio kwa mwenzi au watoto nk
Mi pia si mpenda muingiliano hivyo lakini sio kama mtoa mada
Unaona hapo eti ananipa tahadhari😅😅😅hili kweli debe tupuLakini kasema hatajifungia kabisa watu fulaninwanaojielewa atawafungulia.
Kufungulia mnaanza kidogo kidogo, halafu mkishatuamini mnatupa yote 🤣🤣🤣
Ujue kujinafasi ni haki ya kikatiba.Unaona hapo eti ananipa tahadhari😅😅😅hili kweli debe tupu
There is a thin line between cruelty and tough love.Imekaa kikatili Sana hiii
Na wala huu sio ubinafsi.Moja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume.
Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .
Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni wanakuja tu kuharibu maisha ya watoto wako. Kabisa ..... hauoni leo ila baadaye wakitaka kuoa , kupata kazi , kuoelewa, kutafuta riziki hapo sasa mnaanza usumbufu usio hitajika.
Labda huyo mtu awe anajitambua . Aisee maana watu ni wanafiki sana.