Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
fungua thread yako ijitegemee weka wasifu wako ueleweke vizuri.Jamani mwenye kibarua/ajira yoyote isiohitaji cheti cha coz plz msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fungua thread yako ijitegemee weka wasifu wako ueleweke vizuri.Jamani mwenye kibarua/ajira yoyote isiohitaji cheti cha coz plz msaada
Angalia kule kwenye uzi wa kalaga bahoJamani mwenye kibarua/ajira yoyote isiohitaji cheti cha coz plz msaada
If you took the time to let me know that you don't care, you already care.
Utashi wako uheshimiweMoja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume.
Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .
Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni wanakuja tu kuharibu maisha ya watoto wako. Kabisa ..... hauoni leo ila baadaye wakitaka kuoa , kupata kazi , kuoelewa, kutafuta riziki hapo sasa mnaanza usumbufu usio hitajika.
Labda huyo mtu awe anajitambua . Aisee maana watu ni wanafiki sana.
Mkuu,This is Poverty mentality
Don't hate people becouse there is nothing you can enjoy in this World without people.
When you show love means you show God in the world.
The best way to remain poor is to hate people to hate ur siblings relatives and so on.
m tag pleaseAngalia kule kwenye uzi wa kalaga baho
Ingia jukwaa la ajira utauona Uzi mkuum tag please
Kweli 😁If you took the time to let me know that you don't care, you already care.
Itaishia kuwa ndoto tu
Anadhani ni rahisi😅Mtu anachukulia kuja kuwa na familia kama kitu poa tu.
Anaweza kupanga ndugu wasije kwake, halafu yeye akaishia kwenda kwa ndugu 🤣🤣🤣Anadhani ni rahisi😅
AsanteUtashi wako uheshimiwe
Sitaenda hataAnaweza kupanga ndugu wasije kwake, halafu yeye akaishia kwenda kwa ndugu 🤣🤣🤣
Ni rahisi sana huu mwaka ni wa 15Anadhani ni rahisi😅
Ngoja aje usiondoke😅😅😅Anaweza kupanga ndugu wasije kwake, halafu yeye akaishia kwenda kwa ndugu 🤣🤣🤣
Miaka 15 unaota? Au ya nini?Ni rahisi sana huu mwaka ni wa 15