Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nipo New York City. Mji wa watu wanaojua kushika hamsini zao na kutojali ndugu.Wapi tutimbe?
Imekaa kikatili Sana hiiiAnaweza kupanga ndugu wasije kwake, halafu yeye akaishia kwenda kwa ndugu 🤣🤣🤣
Nini kilikutoa kwenye stage ya kutotembelea watu?Mimi nipo New York City. Mji wa watu wanaojua kushika hamsini zao na kutojali ndugu.
Lakini najua kutembelewa na wageni na mimi kutembelea wenzangu.
Nishapitia hizo stages zote za kukataa kutembelewa na kutembelea watu, nikazimaliza zote.
Roho mbaya tu, hakuna cha mipaka hapoSigombani nao nimipaka tu nimejiwekea
Ishia hapa usimjaji mtu kwa muonekanoLabda huyo mtu awe anajitambua .
Sina rafiki Nina kundi la wanafikiLord protect me from my friends; i can take care of my enemies..VOLTAIRE
Kwa kweli mpaka sasa mimi si mtu wa kutembelea watu sana.Nini kilikutoa kwenye stage ya kutotembelea watu?
Pole kwa lililo kukutamazoea
Na wewe usikanyage kwao maana ni nuksi kwao pia.Moja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume.
Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .
Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni wanakuja tu kuharibu maisha ya watoto wako. Kabisa ..... hauoni leo ila baadaye wakitaka kuoa , kupata kazi , kuoelewa, kutafuta riziki hapo sasa mnaanza usumbufu usio hitajika.
Labda huyo mtu awe anajitambua . Aisee maana watu ni wanafiki sana.
Key words "a kind od distance" "kuwa jaji watu" "mipaka".All working situations require a kind of distance between people... Ukiwa mtu unaeweza kuwa jaji watu ,lazima kuna mipaka utaweka ili kupunguza mazoea yaliyopitiliza. Maana watu wakikujua sana in and out ndio mwanzo wa anguko lako. Mtoa mada yupo sahihi kwa maoni yake.
Ngoja ukue utayaelewa maisha.Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .