SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
AKae kwake kazi wengi wachawi tu hawakutakii lazima watakuwa wameona kitu ndio maana wanakuja kujaKila mtu akae kwake .
Ubaya ubwela🤗Me too
Ndio nini, meaningUbaya ubwela🤗
Pitia huu uzi kwanza huenda akili yako ikaondokana na utoto unaouwazaMoja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume.
Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .
Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni wanakuja tu kuharibu maisha ya watoto wako. Kabisa ..... hauoni leo ila baadaye wakitaka kuoa , kupata kazi , kuoelewa, kutafuta riziki hapo sasa mnaanza usumbufu usio hitajika.
Labda huyo mtu awe anajitambua . Aisee maana watu ni wanafiki sana.
Ndoa isikufanye ugombane na nduguNdio nini, meaning
HApa naishi mwenyewe na miaka 15 sijawahi ita hata pakaerror loading
Unavunja undugu wazi wazi ipo siku hutawaitaji ao ndugu unao wa kataa huku mtandaoni maan live uwezi kuwachana
Sigombani nao nimipaka tu nimejiwekeaNdoa isikufanye ugombane na ndugu
Kaishi porini tena pori zuri katavi utakutana na majirani waliokufa toka ostabey polisiMoja ni kuwaalika ndugu zangu nyumbani kwangu ambapo watoto wangu wanaishi na sio ndugu zangu tu hata ndugu wa mume.
Kingine marafiki , wachungaji ,mazoea sitaki.
Majirani wote siwataki kabisaa .
Na mawatu tu ambao hawajui kwanini wanakuja .
Kwangu pawe kwangu tu hawa watu hawana wema ni wanakuja tu kuharibu maisha ya watoto wako. Kabisa ..... hauoni leo ila baadaye wakitaka kuoa , kupata kazi , kuoelewa, kutafuta riziki hapo sasa mnaanza usumbufu usio hitajika.
Labda huyo mtu awe anajitambua . Aisee maana watu ni wanafiki sana.
Kweli?Itakuwa utadhani tumo ndani ya nyakati za covid19.Kila mtu akae kwake .
Naolewa na mzungu tena superstar wa holly wood so nitapungua ili nikipelekwa kwenye sehemu za kistaa ni muheshimishaUbonge hautopunguza?
Amen na iwe hivyo.Naolewa na mzungu so nitapungua