Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Baada ya jogoo kuwika mara 3, ndipo mfarisayo akamsogelea Mama D na kumuuliza swali,Bado utaona mengi
Tumuombe Mungu uhai tuu
,Ali Haasn Mwinyi.Maisha ni hadithi Tu.....tujitahidi tuache Hadithi nzuri
Nafuu Mimi nina fursa ya kumuona daktari ila wewe kilichobaki ni kuchimba kaburi Chato ufukiwe jirani na mungu wenuMaumivu yakizi muone Daktari😁😁😁
Usisahau uzinduzi wa madaja ya juuKwa kweli nchi hii imepita ujima sima katika miaka miatano iliyopita nadhani hata nchi za Afrika walikuwa wanatuona hamnazo kabisa.
Hebe we fikiria kidenge kimoja kinanuliwa tena mtumba halafu nchi nzima na mbaya zaidi hata viongozi wa dini wanapenda kuishagaa.
Jamani, hivi huyu mtu angekuwa mpaka sasa yupo si tungekuwa tumewehuka kabisa na maigizo na watu wangeshapotezwa wengi kwa kukosoa ujinga huo.
Nafuu Mimi nina fursa ya kumuona daktari ila wewe kilichobaki ni kuchimba kaburi Chato ufukiwe jirani na mungu wenu
Yeye ametoa uhai wa watu wangapi. Muosha huoshwa
Yule mwehu bila kung'olewa roho na baba wa mbinguni angeendelea kulinanisi taifa
Ona sasa wimbi la wajinga na wapumbavu aliowatengeneza.
Kila kitu utasikia angekuwa mzee
kuna maskofu ndiyo waliongoza misa kuziombea ndege...tumetoka mbali jamani watanzania...hiiiii
Bei ya ndege unaijua lakini au umeandika kisiasa tu?. Kumbuka ni miaka mingapi kabla taifa lilishindwa kununua hata hiyo ndege moja tu, shirika la ndege lilikuwa limekufa kabisa na tulikuwa hatujui litafufuka lini.
Utashikilia hilohilo ila elewa unachokipenda wewe sio lazima kila mtu akipende, na unachokichukia wewe sio lazima kila mtu akichukie
Jitambue
Ufisadi na akili za kibinafsi.Taifa halijawahi kushindwa kununua ndege, ni kwamba hawakutaka tu waliotangulia.
Kila kila kitu ni mikakati na kipaumbele siyo kukurupukia midege tu ambayo tija yake ni ndogo halafu unaacha mambo ya Msingi yanakufa kid aumepata sifa eti umenunua midege ambayo Sasa hivi IPO kwenye maweUfisadi na akili za kibinafsi.
Hiyo midege mpaka unaiona inakuja ni sehemu ya mikakati ya kiserikali. Ni sehemu ya mambo ya msingi sana kiuchumi, fikiria masuala haya kwa kina utaelewa ni kwanini zinanunuliwa baada ya CEO wa TCAA kuzunguka kwanza katika nchi kadhaa akitengeneza kwanza msingi wa biashara kati ya TZ na mataifa hayo.Kila kila kitu ni mikakati na kipaumbele siyo kukurupukia midege tu ambayo tija yake ni ndogo halafu unaacha mambo ya Msingi yanakufa kid aumepata sifa eti umenunua midege ambayo Sasa hivi IPO kwenye mawe
Bajeti ya serikali ni trillion 32 halafu unaenda kununua midege kwa trillion 30 ni akili hiyo? Nchi zenye akili hutumia ppp nenda Qatar utaona ukweli huoHiyo midege mpaka unaiona inakuja ni sehemu ya mikakati ya kiserikali. Ni sehemu ya mambo ya msingi sana kiuchumi, fikiria masuala haya kwa kina utaelewa ni kwanini zinanunuliwa baada ya CEO wa TCAA kuzunguka kwanza katika nchi kadhaa akitengeneza kwanza msingi wa biashara kati ya TZ na mataifa hayo.
Usijidharau wala usilidharau taifa lako, lina watu makini sana.
Hizo bajeti ulizoandika umejitungia, haiwezekani kwa serikali kufanya kitu kama hicho.Bajeti ya serikali ni trillion 32 halafu unaenda kununua midege kwa trillion 30 ni akili hiyo? Nchi zenye akili hutumia pop nenda Qatar utaona ukweli huo