Nikikumbuka enzi zile ndege ilinunuliwa moja halafu nchi nzima inahamia uwanjani kuilaki na kuiombea, nacheka sana

Nikikumbuka enzi zile ndege ilinunuliwa moja halafu nchi nzima inahamia uwanjani kuilaki na kuiombea, nacheka sana

Magufuli ndiye Rais Bora kutokea Tanzania. Mnalipwa hela kumtukana mwamba, Wala achafuki sisi tuna Ndege Tena 11, fly over, SGR, daraja la Tanzanite, daraja la busisi, barabara, bwawa la nyerere, vivuko vipya ziwa Victoria na Tanganyika, hospitali za rufaa, madawati na ni vingi mzee huyu amefanya. Tumpe heshima yake.
 
Haya mahela aliyokopa mama yenu pamoja na Tozo chini ya. MAGUFULI Sahizi flyover zote zingekuwa tayari
 
Kwa kweli nchi hii imepita ujima sima katika miaka miatano iliyopita nadhani hata nchi za Afrika walikuwa wanatuona hamnazo kabisa.

Hebe we fikiria kidenge kimoja kinanuliwa tena mtumba halafu nchi nzima na mbaya zaidi hata viongozi wa dini wanapenda kuishagaa.

Jamani, hivi huyu mtu angekuwa mpaka sasa yupo si tungekuwa tumewehuka kabisa na maigizo na watu wangeshapotezwa wengi kwa kukosoa ujinga huo.
Usisahau uzinduzi wa madaja ya juu
 
Yule mwehu bila kung'olewa roho na baba wa mbinguni angeendelea kulinanisi taifa
Ona sasa wimbi la wajinga na wapumbavu aliowatengeneza.
Kila kitu utasikia angekuwa mzee

mwehu alikufilimba na bado anakufilimba akiwa kaburini,kila ukisikia katajwa njia ya haja kubwa ina vibrate[emoji16][emoji16].

hakuna kitu utafanya zaidi ya kuteseka kwa msongo wa mawazo.
 
Mbona husemi hivyo kwa mashoga
Utashikilia hilohilo ila elewa unachokipenda wewe sio lazima kila mtu akipende, na unachokichukia wewe sio lazima kila mtu akichukie

Jitambue
 
Kila kila kitu ni mikakati na kipaumbele siyo kukurupukia midege tu ambayo tija yake ni ndogo halafu unaacha mambo ya Msingi yanakufa kid aumepata sifa eti umenunua midege ambayo Sasa hivi IPO kwenye mawe
Hiyo midege mpaka unaiona inakuja ni sehemu ya mikakati ya kiserikali. Ni sehemu ya mambo ya msingi sana kiuchumi, fikiria masuala haya kwa kina utaelewa ni kwanini zinanunuliwa baada ya CEO wa TCAA kuzunguka kwanza katika nchi kadhaa akitengeneza kwanza msingi wa biashara kati ya TZ na mataifa hayo.

Usijidharau wala usilidharau taifa lako, lina watu makini sana.
 
Hiyo midege mpaka unaiona inakuja ni sehemu ya mikakati ya kiserikali. Ni sehemu ya mambo ya msingi sana kiuchumi, fikiria masuala haya kwa kina utaelewa ni kwanini zinanunuliwa baada ya CEO wa TCAA kuzunguka kwanza katika nchi kadhaa akitengeneza kwanza msingi wa biashara kati ya TZ na mataifa hayo.

Usijidharau wala usilidharau taifa lako, lina watu makini sana.
Bajeti ya serikali ni trillion 32 halafu unaenda kununua midege kwa trillion 30 ni akili hiyo? Nchi zenye akili hutumia ppp nenda Qatar utaona ukweli huo
 
Bajeti ya serikali ni trillion 32 halafu unaenda kununua midege kwa trillion 30 ni akili hiyo? Nchi zenye akili hutumia pop nenda Qatar utaona ukweli huo
Hizo bajeti ulizoandika umejitungia, haiwezekani kwa serikali kufanya kitu kama hicho.

Hiyo miradi inayoendelea ingefanyika vipi kwa akili hama hizo ulizozielezea?.
 
Back
Top Bottom