yego masika
Member
- Jan 17, 2017
- 49
- 38
GeniusUrefu wako kiasi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GeniusUrefu wako kiasi gani?
Kwa hili jibu...inaonyesha tu hufai kuweka ndani kabisahaaaaaaaaha yani rudi ukasome maelezo vema acha kukurupuka kwani kuna sehemu nimeandika sio bikra duuuuhu ka ni mwanaume hakika una homoni za kike yani unatabia za kike
Watu ambao wako serious watapitia comments zako, sio kwenye uzi huu tu bali hata zile ambazo umechangia. Kwa kupitia michango yako na jinsi unavyojibu watu, mtu anaweza kupata angalau picha ya tabia yako.mie mwenyewe mjanja ukiwa muongo ukiniona Ana kwa ana unakimbia bira kufukuzwa
Kwani kuna tofauti gani kati ya Mwanamke ambaye ameshawahi kuolewa lakini hakuzaa na yule asiyekuwa na bikira, mi nadhani ungesema una bikira ndo ungeonekana we una tabia njema lakini kama ulishawahi kuziniwa kutoolewa kunakuongezea sifa gani.
Umesahau hii:Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daima Karibu kwa alie pendezewa na mimi.
Km unataka wakristo tuu nenda kwa gwajima hajaoaUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daima Karibu kwa alie pendezewa na mimi.
Ka picha tafadhali...Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daima Karibu kwa alie pendezewa na mimi.
Upo serious au unafurahisha tu watu mpendwaUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daima Karibu kwa alie pendezewa na mimi.
Huwezi kuwa mke kwa kauli hizi.haaaaaaaaha yani rudi ukasome maelezo vema acha kukurupuka kwani kuna sehemu nimeandika sio bikra duuuuhu ka ni mwanaume hakika una homoni za kike yani unatabia za kike
Hahaha we noma sana.Usha Tanga tanga unatafuta wa kumfia