Izc
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 546
- 368
Hakuna mwanaume anaweza kuoa mwanamke mjanja mjanja ambaye hata mwanaume akimuona anakimbiamie mwenyewe mjanja ukiwa muongo ukiniona Ana kwa ana unakimbia bira kufukuzwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwanaume anaweza kuoa mwanamke mjanja mjanja ambaye hata mwanaume akimuona anakimbiamie mwenyewe mjanja ukiwa muongo ukiniona Ana kwa ana unakimbia bira kufukuzwa
Umenipata Mama.mimi ni mfanyakazi wa kujitegemea kule Syria katika ule mji wenye mapigano makali wa Alepo na ninaishi karibu na ile kambi ya ISIS kwa sasa nipo likizo kidogo.so ni mjasiria mali kule nasaply baruti na vitu vya milipuko yuko kwenye mapambano ktk kikosi cha mizinga.tupia picha yako tafadhali na contact zako tuanze mazungumzo na mchakato mama.nasali RCUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daima Karibu kwa alie pendezewa na mimi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] I love JF!dah!! sijui nijilipue! Na umri huu kweli atanikubalia!!! ila ngoja niende yawezekana uoga wangu ndo umsikini wangu!!
Mimi nahisi vigezo vingi ninavyo lakini napenda sana kuzama chumvini.... Sijui nitakufaa?sio marijari wanaume feki
Hahahahahaaaaa wewe ni jipu kweli.Hapo kwenye "awe mweupe" vipi nimekidhi vigezo niangalie kwenye avatar
Hahahahah ww tena kwa maswaliumesema mwanaume au mjasiriamali samahan kwan wewe unajihusisha na nn mama?
kazi ipopoa mama sasa nikupe mtongozo wa kiutu uzima hapa hapa au nije pm?
0659423670 nitafute kama upo siliasi kweliUmri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daima Karibu kwa alie pendezewa na mimi.
tulia shunie nin shida mama?kazi ipo
kawaida vigezo na mashart vizinagtiwe pande zoteHahahahah ww tena kwa maswali
kweli aiseekawaida vigezo na mashart vizinagtiwe pande zote
ahahahahahahahaaha pia anatafuta wa kumzika ili kwenye risala aonekana ana mumeUsha Tanga tanga unatafuta wa kumfia
hakuna shida utanipa mrejeshotulia shunie nin shida mama?
hakuna shida utanipa mrejesho
hahahahah akiwa ameshaliwa auahaa wapi utaona manyoya tu