mr chamteo
Member
- Jan 9, 2017
- 30
- 17
hahahahah akiwa ameshaliwa au
Kwani umelazimishwa?Nenda kajifie uko
Kweli umeamua kuonyesha nia
kwenye manyoya naomba niwepoitafahamika huko huko dada
Siliasi =serious0659423670 nitafute kama upo siliasi kweli
Nimechelewa au bado kuna kanafasi?Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daima Karibu kwa alie pendezewa na mimi.
kwenye manyoya naomba niwepo
hahahahah mm si dada ako hakuna shida niite tustak mashahid aisee manyoya yako hua unaita watu?
hahahahah mm si dada ako hakuna shida niite tu
hahahahah nataka kuja kuwa shahidi nione kaka anavyojitumaushawah kuona dada anaitwa kwenye hayo mambo tulia na wewe umnyonyoe wa kwako
halafu na wewe uombe?hahahahah nataka kuja kuwa shahidi nione kaka anavyojituma
hahahahah show nikiipenda hakuna namna nitaomba tuhalafu na wewe uombe?