Nikimpata anipendae ntampenda sana na atajuta kwanini hatukukutana mapema

Mmh ungefanya nn mfano mpaka unibake kimahaba kiasi iyo?
 

+255758393837 a christian 30 years old employed by government and a business man if interested
 
Jf kama fb tu
Msiwe mnafanya mambo kwa majaribio huku mkimshirikisha mungu mtapata laana ...... Mungu anaheshima zake hakuanzisha upendo ili binadamu muujaribu ..... Hasanyie mabinti mnaiza watu sana mungu awasamehetu.....but dunia haitapona kwakuwa upendo mungu umetoweka nashetani kaweka upendo wake ili tuumizane tuoneane na kudharauliana
 
awasamehe hao wanaowajaribu na kuwadharau na wanaowakataa
 
uwe makini wengi humu ni watafunaji na kutema tu.
 
1. umesoma zaidi ya form 4

2. my mima plz, uko zaidi ya 26

3. majibu yako yanaonesha mkristo wa kuzaliwa na si mshika dini


wanajf psychologists 'll tell more
ngoja nikwambie kitu kasome bibilia ndo uje unihukumu kingine mda mwingine uwe[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…