Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
katfute wa kukupa stoi show kwa dada zangu....
hahahahah show nikiipenda hakuna namna nitaomba tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahah show nikiipenda hakuna namna nitaomba tu
hahahahah kiduchu tu kakakatfute wa kukupa stoi show kwa dada zangu....
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daima Karibu kwa alie pendezewa na mimi.
hahahahah kiduchu tu kaka
Jf kama fb tuView attachment 461608![]()
+255758393837 a christian 30 years old employed by government and a business man if interested
ha ha ha ha bwana bwire umetisha hutak mchezo mchezo mimadota ukatae wewe sasa jamaa kamaliza kila kituView attachment 461608![]()
+255758393837 a christian 30 years old employed by government and a business man if interested
Msiwe mnafanya mambo kwa majaribio huku mkimshirikisha mungu mtapata laana ...... Mungu anaheshima zake hakuanzisha upendo ili binadamu muujaribu ..... Hasanyie mabinti mnaiza watu sana mungu awasamehetu.....but dunia haitapona kwakuwa upendo mungu umetoweka nashetani kaweka upendo wake ili tuumizane tuoneane na kudharaulianaJf kama fb tu
awasamehe hao wanaowajaribu na kuwadharau na wanaowakataaMsiwe mnafanya mambo kwa majaribio huku mkimshirikisha mungu mtapata laana ...... Mungu anaheshima zake hakuanzisha upendo ili binadamu muujaribu ..... Hasanyie mabinti mnaiza watu sana mungu awasamehetu.....but dunia haitapona kwakuwa upendo mungu umetoweka nashetani kaweka upendo wake ili tuumizane tuoneane na kudharauliana
Siku shetani akifa dunia itaponaawasamehe hao wanaowajaribu na kuwadharau na wanaowakataa
Inabide apige show za ki~utu uzima manaake show za kibabe huwa hazina mzuka wala mvutohahahahah show nikiipenda hakuna namna nitaomba tu
Unajua hawa mademu wanazingu watu kanashindwa kutafuta mume kanisani kanakuja net alafu vpo fb ving kweli kinajina sura mn'gao kinakuja kuji tangaza humu..... Mungu avihurumieha ha ha ha bwana bwire umetisha hutak mchezo mchezo mimadota ukatae wewe sasa jamaa kamaliza kila kitu
ngoja nikwambie kitu kasome bibilia ndo uje unihukumu kingine mda mwingine uwe[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]1. umesoma zaidi ya form 4
2. my mima plz, uko zaidi ya 26
3. majibu yako yanaonesha mkristo wa kuzaliwa na si mshika dini
wanajf psychologists 'll tell more