Nikimpata anipendae ntampenda sana na atajuta kwanini hatukukutana mapema

Nikimpata anipendae ntampenda sana na atajuta kwanini hatukukutana mapema

Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote.Mwanaume ninaemuhitaji awe na umri miaka 29 kuendelea awe mrefu mweupe au maji ya kunde Mjasiriamali na msafi wa mwili mpaka roho yake awe mkristo nitampenda na kumlinda daima Karibu kwa alie pendezewa na mimi.
332bc35889391ade0c03e844a78193e4.jpg
20170111_083231.jpg

+255758393837 a christian 30 years old employed by government and a business man if interested
 
Jf kama fb tu
Msiwe mnafanya mambo kwa majaribio huku mkimshirikisha mungu mtapata laana ...... Mungu anaheshima zake hakuanzisha upendo ili binadamu muujaribu ..... Hasanyie mabinti mnaiza watu sana mungu awasamehetu.....but dunia haitapona kwakuwa upendo mungu umetoweka nashetani kaweka upendo wake ili tuumizane tuoneane na kudharauliana
 
Msiwe mnafanya mambo kwa majaribio huku mkimshirikisha mungu mtapata laana ...... Mungu anaheshima zake hakuanzisha upendo ili binadamu muujaribu ..... Hasanyie mabinti mnaiza watu sana mungu awasamehetu.....but dunia haitapona kwakuwa upendo mungu umetoweka nashetani kaweka upendo wake ili tuumizane tuoneane na kudharauliana
awasamehe hao wanaowajaribu na kuwadharau na wanaowakataa
 
uwe makini wengi humu ni watafunaji na kutema tu.
 
1. umesoma zaidi ya form 4

2. my mima plz, uko zaidi ya 26

3. majibu yako yanaonesha mkristo wa kuzaliwa na si mshika dini


wanajf psychologists 'll tell more
ngoja nikwambie kitu kasome bibilia ndo uje unihukumu kingine mda mwingine uwe[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
Back
Top Bottom