Nikiomba tena ajira niiteni mbwa nimekaa paleee

Japo yawezekana ni simulizi tu ya kubuni lakini ndio hali halisi hasa ya vijana wengi nchini kwetu..huwezi amini kuna vijana wanatumiwa pesa na wenzao wa vijijini ambao waliwaacha njiani kwenye elimu.
 
Iyo simulizi inaualusia mkubwa sana, labda serikali ingalikuwa ni mtu moja mwenye utashi na siyo kikundi cha watu basi ingelisikia mengi mazuri inayoshauriwa, serikali yetu imeshaambiwa ipitie upya mfumo mzima wa elimu yetu, kwani siyo rafiki na mazingira ya sasa...Wahitimu wengi wanapomaliza Vyuo wengi utegemea ajira serikalini, kwa maana ya kwamba ndiko mfumo wa elimu ya Tanzania iliko, lkn km Serikali angalikuwa ni mtu moja basis naamini angeliweza kufanya kitu, zaidi kusimamia aya yanayosemwa na wadau hasa asasi za kirahia...
 
Japo yawezekana ni simulizi tu ya kubuni lakini ndio hali halisi hasa ya vijana wengi nchini kwetu..huwezi amini kuna vijana wanatumiwa pesa na wenzao wa vijijini ambao waliwaacha njiani kwenye elimu.
Kwanini iwe simulizi mkuu na kuna mstari umesema kuwa hiyo ndio hali halisi?

Mkuu hali ni mbaya mno mtaani
 
Yeah msimu wa likizo unawadia huu ndio msimu wa kupiga hela kwa vijana
 
Nashauri tu mtoto wako akimaliza form 4 mpeleke diploma elimu ya advance haina faida hata kidogo peleka diploma akapige kozi anayoitaka akimaliza achague either aende kazini au aendelee kusoma bachelor au asome bachelor huku akitumia cheti cha diploma ku apply kazi easy kama hivyo.

N.b
Wazazi mjue kuwa kitu anachofanya mwenye degree hata diploma anaweza kukifanya pia na mshahara wamepishana pesa ndogo sana tena naweza kusema diploma wanafunga na pesa ndefu sana kwa mwezi kuliko bachelor .
 
so sad but too early to give up bro
 
Pole sana
 
Kuajiriwa kumekuwa ni hisani tu.. tusiifanye kuwa ni wajibu, mwisho wa siku tonge lazima iende kinywani iwe ndani ya ajira au nje
 
Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.
[emoji1534]
 
Ajira nimeziomba sana ila kupata ndo mtihani.nishaamua kujiajiri kuuza mboga za majani maisha yanaenda.stress zimeisha.na kaz za sensa nazo bado kimya
 
Sijawahi ona mwanachuo wa degree anakwenda kufanya field mashuleni au vyuoni.
Hivyo ndo vipimo vya kuweza kujua wewe mwalimu mtarajiwa unaupeo gani wa kufundisha.
Tulikuwa tunaambiwa wenye degree wenyewe ni kwenda moja kwa moja kufundisha secondari na vyuoni au kuwa maafisaelemu wa mikoa.
Kwa experience ipi mliyonanyo kwa elimu ya leo ambayo hata mitaala haieleweki. Labda nyinyi mliopitia huko. Wewe ungesoma diploma ukaenda kufundisha ukagain experience then ukaenda kusoma ukiwa na ajira yako tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…