Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Unaakili sana kiongozi wangu, waambie walimu hawaShuleni unatakiwa kupata maarifa na huu ndio muda wa kuyatumia. Kama ulikariri basi sasa mtaa unaenda kukupa maarifa ambayo tàyari wale walioishia lasaba wanayo.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Maisha ya mwanaume hata raha ya kuishi huioniNunua Mirunda na mabati chakavu gonga banda hapo mtaani mtafute dingilai mwepesi akukope eneo weka banda hapo nenda kwa mafundi geti kaombe rangi ilobaki piga chapa kibao TUITION TUITION AU LYKIZO TIME TUITION TUITION in 6 months period utakuja hapa unaimba mapambio
History na kiswahili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana mkuu, unakata tamaa mapema sana lakini pia unaexpectation za juu sana, umesomea masomo gan mkuu?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kwahiyo physics na mathematics ndompango mzimaKama si math na physics, ama si elimu maalum, mkuu kaza kwanza mtaa sahau huku ama pata connection, mwaka 2015 hata nusu kuchukuliwa bado.
Maboya hawaDaaaa Pale tumaini linapokufa. i feel it.
Kutegemea ajira za Serikali ni mateso sana
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kwamba sio lazima apate ajira au sioRudi mtaani achana na hao walamba asali
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Walimu wanafundisha non stop from morning to eveningUnapata wapi hao wanafunzi wakati ma shuleni wanaachiwa saa 11 na bado wanaitwa tena weekend na likizo
Mwambie akavue kambale huko Mungu kampa mikono yotePole sana
Mungu akusimamie mkuu ipo siku yako pia…
Hii ni principle mbaya Sana inabidi wachukuliwe science tuFirst in first out ,km umemaliza chuo 2021 au 2020 ujue kuna watu wapo mtaani tangu 1998 hakuna ajira ,itafika zamu yako utapata
Sulikuwa unalia kila siku watoe majina, Sasa majina yametoka unalia tenaNimekosa tena ajira ya ualimu kipindi ambacho naiihitaji mno, Pdf zima limejaa certificate na diploma sisi bachelor sjui tukale wapi?
Kungekuwa kuna namna ya kuibadilisha degree kuwa certificate ningefanya hivo ili mradi nizame ajirani.
Nimeamua kuachana kabisa na huu ujinga wa kuifikiria ajira , ngoja nipambane na mtaa kama sjawahi kwenda shule.
Naota ndoto hazina rangi ngoja niamke nizipake.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] AU sioMstari wa mbele kusoma mapovu yanavyomwagika.
Sasa hao wanachuo wenye degree huwa wanafanyia field wap? Kama sio shuleni mbona kama huelewi hata nini kinaendelea duniani kwa wakati huu, yani uko shallow na unajikuta unajua kila kitu,Sijawahi ona mwanachuo wa degree anakwenda kufanya field mashuleni au vyuoni.
Hivyo ndo vipimo vya kuweza kujua wewe mwalimu mtarajiwa unaupeo gani wa kufundisha.
Tulikuwa tunaambiwa wenye degree wenyewe ni kwenda moja kwa moja kufundisha secondari na vyuoni au kuwa maafisaelemu wa mikoa.
Kwa experience ipi mliyonanyo kwa elimu ya leo ambayo hata mitaala haieleweki. Labda nyinyi mliopitia huko. Wewe ungesoma diploma ukaenda kufundisha ukagain experience then ukaenda kusoma ukiwa na ajira yako tayari.
HiiTatizo lako unataka serikali ndio ikuajiri, private school bado zinahitaji walimu, hadi wasiokuwa walimu kitaaluma wanafundisha private, wewe unaferi wapi?
Mimi nina ndugu yangu ni form six lakini ametoka familia ya kielimu anafundisha Biology kama yeye ndio ameitunga, jamaa kila shule anayokwenda anapewa uhead Master na darasani anafundisha na hajawahi kukanyaga sehemu inaitwa chuo kikuu, hana Degree wala Diploma.
Kuna shida sehemu kwenu vijana wa sasa hivi.
Degree alisoma wapi achilia mbali masters?? Nakumbuka Wakati niko Mzumbe alidisco sasa sijui alienda kusoma wapi tena..Yule Mwijaku ana Masters, amejitwist kwenye uchawa kunamlipa vizuri tu.
Karibu mtaani huku ndiko kwenye matumizi ya akili na siyo vyeti.
Unapokuja mtaani vyeti vyako fungia kabatini for future use, huku walioferi darasani ndio magenius.
Mkuu usicheke,yauma sana sema ndio tunakaza tuu,ila ndicho kilichopo,ukisoma arts na so kingereza chance ndogo sana ila walimu wa physics na math wanamarket na wachache sana,tatizo wengi hawakufaulu vyema so wanaenda ualimu kwa kuwa hawana optionHistory na kiswahili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]