Nikirudi nyumbani nisipokuta chakula tayari inanikera sana

Sisi tunapenda wanawake warembo haswaa. Na sasa hao ndio wako namna hiyo. Na kama si mrembo, binafsi hata sina hamu ya penzi.. na sitaki kuoa mke ambaye sina hamu na penzi lake.
 
Sasa ww na mtu ambaye hajaoa mna tofauti gani?
Hilo si la kudumu maisha yote ya ndoa mwanamke anayejielewa atarekebisha ratiba. Hakuna mwanamke anayependa mwanaume asile chakula anachoandaa.
 
Hivi mnafikiri wanawake wao ni maroboti eee
Nani kasema marobots. Ni msaidizi wako. Ila siku izi wamekuwa ni wavurugaji badala ya kusaidia. Bora mtu ambaye haujaoa kuliko waliooa.
 
Hilo si la kudumu maisha yote ya ndoa mwanamke anayejielewa atarekebisha ratiba. Hakuna mwanamke anayependa mwanaume asile chakula anachoandaa.
Sio kweli. Tena siku izi ni house girls ndio wanaofanya kazi zote pamoja na kupika na kulea watoto
 
Zamani wazee wetu waliweka sheria na ndoa zikadumu lakini saivi tunaenda kienyeji ukija hujui baba nani mama nani wote wamevaa mibano na kuvaa hereni heshima itatoka wapi?
Siku izi ukiweka sheria, wanasema unawaonea. Wanasema haki za wanawake..
 
Sio kweli. Tena siku izi ni house girls ndio wanaofanya kazi zote pamoja na kupika na kulea watoto
Na sio kweli kwamba kwenye ndoa zote wanaoandaa chakula ni dada wa kazi. Wapo wanawake ambao licha ya udhaifu wao kama binadamu hawapendi dada wa kazi aandae chakula cha waume zao
 
Na ndio maana ndoa hazidumu kabisa. Yani watu waliooa ni ma-stress kila siku. Ni wa kuhurumia kweli kweli.
 
Na sio kweli kwamba kwenye ndoa zote wanaoandaa chakula ni dada wa kazi. Wapo wanawake ambao licha ya udhaifu wao kama binadamu hawapendi dada wa kazi aandae chakula cha waume zao
Wachache sana wako hivyo siku izi. Hiki kizazi cha facebook, insta, tiktok na youtube.. watashinda huko mitandaoni zaidi
 
Unatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Mnyang'anye smartiphoni atastaarabika
 
Hujakosea. WAKO WENGI SANA SIKU HIZI. NA NDIO MAANA WATU TUMEGOMA KUOA..
 
Sisi tunapenda wanawake warembo haswaa. Na sasa hao ndio wako namna hiyo. Na kama si mrembo, binafsi hata sina hamu ya penzi.. na sitaki kuoa mke ambaye sina hamu na penzi lake.
Bas muwe wavumilivu msje kutulilia huku, na kutujumuisha "oooh wanawake wamefanya haya oooh wamefanya yale". Hahahahahahah! Kweli ukiyastaajabu ya Musa utayaona ya Farao, baadae "ooh wanaume tunakufa mapema, wanawake wanabaki" mnavumilia mshumaa uishie kiganjani​
 
Mbona haya mambo ni ya kuongea tu?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…