Nikirudi nyumbani nisipokuta chakula tayari inanikera sana

Nikirudi nyumbani nisipokuta chakula tayari inanikera sana

bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU

Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu

huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
[emoji114][emoji2969]
Ukiwa kazini andika sms nataka kula hiki ama kile. Na nikikute juu ya mezq nikifika.
 
Wahuni tuseme mara ngapi kuwa kalio halipiki wala kuosha sufuria??

Mkuu changamoto yako ya kawaida sana,,, inazungumzika na inaisha,, labda kama wewe utaikuza na utaiunganisha na sababu zingine,, ila ikisimama yenyewe inaisha na utakuta msosi tayari....

Jikaze,,Ndoa sio kipaimara
 
bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU

Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu

huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
[emoji114][emoji2969]
Hahahahah hili swali lilikuwa linanikera sana hadi nikaanzishaga uzi humu 😅!

Kipindi ninamfanyia probation moja ya waliokuwa wapenzi wangu miongoni mwa kero ambayo ilinifanya nijiengue ni hii! Yani mwanamke anakuja kukuuliza eti tunapika nini mambo ya hovyo sana 😅
 
Huaga siamini haya niyaskiayo, yaan mtu ameshnda home tangu kumekucha na haumw lkn hapiki mpka unaporudi!? Inashangaza mnooo, sjawah kuliamini hili swala. Na pesa ya chakula umetoa na bado mtu hapiki............mnawapataga wap hao wake zenu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]​

Ukishaona hivi, jua shida ni mume sio mke[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ni mwanaume asiyejielewa pekee anaweza kuanika udhaifu wa mke wake mtandaoni

Tujifunze, siri za ndani hazifai hata kufika sebuleni, tuzimalize ndani kwa ndani

Wanawake ni waelewa sana ukienda nao kwanza kwa kuwatibu kisaikolojia. Nenda nae taratibu, mweleweshe atakuelewa. Yamkini tabia hii alijijengea mwanzo mlipooana/kuanza kuishi pamoja na hukuikemea, akachukulia kama ndo lifestyle unayopendezwa nayo

Jifunze ulikosea wapi, then rekebisha makosa yako/Yenu

Tena hapa kwa sababu tupo mwisho wa mwaka, pangeni pamoja mipango yenu ya mwaka kesho, na hilo liwe moja ya ajenda yenu

Ova

Sasa mkuu hapa tunatumia majina fake na hata yeye hajamtaja mkewe kwa majina kamili na by the way huku ni sehemu ya kutoa ya moyoni mana hamjuani na inatoa ahueni kuliko kwenda kumtangaza kwa watu live.
 
Mimi nakushauri kama mwanamke niliyeolewa ongea nae umwambie hupendi na kiafya kuchelewa kula sio vizuri halafu chunguza kinachosababisha achelewe kupika ukute kazi nyingi,kama ni hivyo tafuta namna ya kumpunguzia kazi lakini kama ni makusudi na inakukera sana akichelewa wewe uwe umelala ili kesho ajitahidi.
 
Hahahahah hili swali lilikuwa linanikera sana hadi nikaanzishaga uzi humu [emoji28]!

Kipindi ninamfanyia probation moja ya waliokuwa wapenzi wangu miongoni mwa kero ambayo ilinifanya nijiengue ni hii! Yani mwanamke anakuja kukuuliza eti tunapika nini mambo ya hovyo sana [emoji28]
Unafikiri na sisi hatuchoki kuwaza chakula cha kupika. Mwingine anajibu anataka kula nini maana unakuta kazini kala miwali na jioni tena miwali inakinaisha
 
Unafikiri na sisi hatuchoki kuwaza chakula cha kupika. Mwingine anajibu anataka kula nini maana unakuta kazini kala miwali na jioni tena miwali inakinaisha
Hahahhaa mi nataka kula “chicken fried rice” unaweza pika hio? Iwe mexican dish
 
Unasisitiza kauli yako unazani unaingea point mwenyewe kumbe upumbavu

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
😂😂😂. Na mimi nakuangalia ww uliyeingia kwenye ndoa sababu eti jamii inasema lazima mtu uoe.. HALAFU HATA HELA YA HARUSI HAUNA UNANICHANGISHA MIMI.. Baada ya muda ndla inavunjika na jamii hio hio inakucheka ndoa ikivunjika.. upumbavu siku hizi ni kuoa tu bila mpango na wengi ndio mmefanya ivyo. Tunawaangalia tu.
 
Bas muwe wavumilivu msje kutulilia huku, na kutujumuisha "oooh wanawake wamefanya haya oooh wamefanya yale". Hahahahahahah! Kweli ukiyastaajabu ya Musa utayaona ya Farao, baadae "ooh wanaume tunakufa mapema, wanawake wanabaki" mnavumilia mshumaa uishie kiganjani​
Uvumilivu wakati mtu unateseka. Unapata stress kila siku.. eti uwe mvumilivu? Of course lazima ufe mapema sababu ya kuwa na maishi yenye stress kila siku. Solution ni kugoma tu kuoa, na ndio watu tumeamua ivyo siku izi. Yani mpaka kieleweke... Otherwise, ni mtindo wa kuendelea kutafta pesa na bahati nzuri, pesa inatukubali kweli kweli watu ambao hatujaoa.
 
Back
Top Bottom