Nikirudi nyumbani nisipokuta chakula tayari inanikera sana

Nikirudi nyumbani nisipokuta chakula tayari inanikera sana

Hapana si mtu unamuuliza kwa simu kabla hajaja home nikupikie nini akij anakuta chakula tayari
Kuna vyakula vya kupika fasta mfano yupo njian ndio unatenga maji ya ugali akifika anakula ugali fresh
Haya nawaachia mlooana
Ndio mahusiano ya kisasa hayo. Ukimiss haki yako unakwenda kupewa tu😅 nawaelewa sana ma ancestor! Ndio maana walitengewaga vyumba vyao maalum akikaa huko haitaji shobo!
 
Ndugu yangu usisahau kua mkeo io mpishi wako, yeye kukupikia anakusaidia kwahiyo usichukulie poa msaada anaokupa. Pili usisahau wanawake wana majukumu mazito sana ya kuratibu na kutekeleza shughuli za nyumbani kuzidi hata hizo zako za ofisini. Wewe kupata mshahara na kuleta pesa nyumbani sio suluhisho la mambo yote. Msaidie mkeo, ukirudi msosi bado angalia kile umachoweza kumsaidi ili mule mapema. Acha kumlalamikia kisa tu unaleta matumizi nyumbani.
We unaonekana mgeni wa hivi viumbe, mwanamke akilipa bill tu hata K hatamani kukupa seuze abebe majukumu yote si utalazwa stoo😅😅😅
 
We unaonekana mgeni wa hivi viumbe, mwanamke akilipa bill tu hata K hatamani kukupa seuze abebe majukumu yote si utalazwa stoo[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].. nina uzoefu mdogo tu kaka wa miaka 10 ya ndoa. So bado mengi sijayajua
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].. nina uzoefu mdogo tu kaka wa miaka 10 ya ndoa. So bado mengi sijayajua
Hahahahahahah jaribu mwezi mmoja kujifanya umefukuzwa kazi ili kuongeza CV yako 😅
 
bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU

Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu

huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
[emoji114][emoji2969]
🤣🤣🤣🤣🤣
 
hakuna Gubu Dada
MWANAMKE lazima ujue MUMEO anapenda kipi na kipi
na chakura kipi akipendi na kipi anapenda

kwa ufupi sisi watu wa pwani SOKONI tunaenda wenyewe na kawaida yangu JODARI na SATO hawaishaji katika friji hasa JODARI huwa ninanua KUNDUCHI ama mbweni ila sana sana KUNDUCHI 7bu ni nafuu wa MWENZI mzima
na anajua ninapenda samaki
hvyo viungo vingine napitia BOMA kila wikiendi au nikiwa town kkoo job kabla soko halijaungua wanapitisha mtaani nanunua 7bu inakuwa nafuu sana na hata wale samaki wa kukaushwa wa mtoni
Kuku huwa tunakula FRESH hatuifadhi kwenye friji Mimi na mwanangu hatupendi nyama ngombe SISI tunapenda samaki yeye anapenda maharage

So mpk linakuja hilo swali la kibwege ujue ndani kila kitu kipo hayo mahoho manyanya mpk yanaoza mm mpk nazi huwa nanunua BOMA kwa mwezi mara 2 7bu huwa sipendi mboga kuungwa n mafuta na wali wa mafuta

So hakuna Gubu ni yeye tu mvulugaji anapenda tu kukukela ukasilike
7bu siku ukitaka chakula fulani huw namtaalifu mapema mfano kama leo nilimwambia mapema tu mchana JIONI pika pilau ila KUKU usichanganye na pilau
pika lost pembeni na zaidi nikamuambia weka na ile ya kunogesha Rosti ile nyanya ya pakti Royco
hivyo elewa wanawake nyinyi miyeyusho
tu sometyme ukishaitwa MRS FULANI
😂😂 dah
 
bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU

Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu

huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
[emoji114][emoji2969]
Mpandsihe cheo huyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

NB: VIGEZO NA MASHARTI KUZINGATIWA
 
hakuna Gubu Dada
MWANAMKE lazima ujue MUMEO anapenda kipi na kipi
na chakura kipi akipendi na kipi anapenda

kwa ufupi sisi watu wa pwani SOKONI tunaenda wenyewe na kawaida yangu JODARI na SATO hawaishaji katika friji hasa JODARI huwa ninanua KUNDUCHI ama mbweni ila sana sana KUNDUCHI 7bu ni nafuu wa MWENZI mzima
na anajua ninapenda samaki
hvyo viungo vingine napitia BOMA kila wikiendi au nikiwa town kkoo job kabla soko halijaungua wanapitisha mtaani nanunua 7bu inakuwa nafuu sana na hata wale samaki wa kukaushwa wa mtoni
Kuku huwa tunakula FRESH hatuifadhi kwenye friji Mimi na mwanangu hatupendi nyama ngombe SISI tunapenda samaki yeye anapenda maharage

So mpk linakuja hilo swali la kibwege ujue ndani kila kitu kipo hayo mahoho manyanya mpk yanaoza mm mpk nazi huwa nanunua BOMA kwa mwezi mara 2 7bu huwa sipendi mboga kuungwa n mafuta na wali wa mafuta

So hakuna Gubu ni yeye tu mvulugaji anapenda tu kukukela ukasilike
7bu siku ukitaka chakula fulani huw namtaalifu mapema mfano kama leo nilimwambia mapema tu mchana JIONI pika pilau ila KUKU usichanganye na pilau
pika lost pembeni na zaidi nikamuambia weka na ile ya kunogesha Rosti ile nyanya ya pakti Royco
hivyo elewa wanawake nyinyi miyeyusho
tu sometyme ukishaitwa MRS FULANI
Duh, we jamaa hatari. Huo mda wa kumwambia pika hiki weka au usiweke kile unautoa wapi.?

Muhimu kila kitu kipo home, mpe wife uhuru wa kukuonyesha mapishi yake, usimpangie sana.
 
hakuna Gubu Dada
MWANAMKE lazima ujue MUMEO anapenda kipi na kipi
na chakura kipi akipendi na kipi anapenda

kwa ufupi sisi watu wa pwani SOKONI tunaenda wenyewe na kawaida yangu JODARI na SATO hawaishaji katika friji hasa JODARI huwa ninanua KUNDUCHI ama mbweni ila sana sana KUNDUCHI 7bu ni nafuu wa MWENZI mzima
na anajua ninapenda samaki
hvyo viungo vingine napitia BOMA kila wikiendi au nikiwa town kkoo job kabla soko halijaungua wanapitisha mtaani nanunua 7bu inakuwa nafuu sana na hata wale samaki wa kukaushwa wa mtoni
Kuku huwa tunakula FRESH hatuifadhi kwenye friji Mimi na mwanangu hatupendi nyama ngombe SISI tunapenda samaki yeye anapenda maharage

So mpk linakuja hilo swali la kibwege ujue ndani kila kitu kipo hayo mahoho manyanya mpk yanaoza mm mpk nazi huwa nanunua BOMA kwa mwezi mara 2 7bu huwa sipendi mboga kuungwa n mafuta na wali wa mafuta

So hakuna Gubu ni yeye tu mvulugaji anapenda tu kukukela ukasilike
7bu siku ukitaka chakula fulani huw namtaalifu mapema mfano kama leo nilimwambia mapema tu mchana JIONI pika pilau ila KUKU usichanganye na pilau
pika lost pembeni na zaidi nikamuambia weka na ile ya kunogesha Rosti ile nyanya ya pakti Royco
hivyo elewa wanawake nyinyi miyeyusho
tu sometyme ukishaitwa MRS FULANI
Bora umenisaidia mkuu yani inakera umuwekee mke kila kitu ndani halafu still aanze na kukuuliza maswali ya kipuuzi! Ndani kuna kila kitu unauliza tena tunakula nini?

Eti mwanamke hawezi kuchanganua akili tu kusema kitu flani hatujala mda mrefu nipikie familia yangu?
 
Duh, we jamaa hatari. Huo mda wa kumwambia pika hiki weka au usiweke kile unautoa wapi.?

Muhimu kila kitu kipo home, mpe wife uhuru wa kukuonyesha mapishi yake, usimpangie sana.
Sasa mke anashindwa kujiongeza ndio balaa linapokuja😂
 
Una umri gani
Ushaoa
una mkee una watoto
Ngoja Uoe kisha upate watoto
tena wakawanza na mkeo ndo awe mtoto wake wa kwanza ndo utajua hujui
ukirudi umechoka ma stress za JOB
unapewa mtoto zamu yako ulee
halafu yeye ndo anapika
na bado haitoshi yupo jikoni mfano me naishi chumba na sebure sisi tupo chumbani yeye sebureni anapika lkn atatoka huko akufate akupe umbeya wote wa mtaani
na bado unamwambia natoka mara moja narudi baada nusu saa
utasikia nenda naye basi na hilo toto kama limefundishwa linanyoosha mikono ulibebe ukitaka kumuacha tu kilio
So ni wake zetu tunaenjoy visa vyao japo tunaudhika
ndo mana akisafili wiki tu unakuwa mpweke balaa so hvyo vijimambo vinakera lkn vinanogesha NDOA
7bu ndoa bila maneno maneno na mikwaluzano hata kudundana HAINOGI wala nini
7bu sote ni binadamu na binadamu kamili lazimi utamuudhi mwenzako au wewe uudhiwe na ukasilike haiwezekani ukasilishwe kwa kuudhiwa halafu usikasilike itakuwa wewe sio binadamu ni Punda
ndio mana hakuna sehemu tulosema hawafai au kuwaongelea maneno ya kuwadhalilisha So hakuna siri hapo ni kuwa tunatiana moyo tu kwamba wanawake hizo ndio tabia zao so km nilikuwa namsaport jamaa kuwa hilo lake ni cha mtoto wangu mm yupo hivi so ni jambo la kawaida tu.
Kwahio kumsaidia kubeba bao lako unaona hatari mkuu😅
Mtoto ni wenu sio wake pekeyake!
 
Sasa mke anashindwa kujiongeza ndio balaa linapokuja[emoji23]
Mke ndio kila kitu jikoni, anatakiwa ajue nini apike leo, kipi kinafaa kwa familia yake na kipi leo hakifai. Mwanamke akishindwa hapo ana walakini mkubwa sana. La, basi waweke ratiba ya wiki.

Besides, mimi namuona jamaa kama anaingilia uhuru wa mke wake.
 
Una umri gani
Ushaoa
una mkee una watoto
Ngoja Uoe kisha upate watoto
tena wakawanza na mkeo ndo awe mtoto wake wa kwanza ndo utajua hujui
ukirudi umechoka ma stress za JOB
unapewa mtoto zamu yako ulee
halafu yeye ndo anapika
na bado haitoshi yupo jikoni mfano me naishi chumba na sebure sisi tupo chumbani yeye sebureni anapika lkn atatoka huko akufate akupe umbeya wote wa mtaani
na bado unamwambia natoka mara moja narudi baada nusu saa
utasikia nenda naye basi na hilo toto kama limefundishwa linanyoosha mikono ulibebe ukitaka kumuacha tu kilio
So ni wake zetu tunaenjoy visa vyao japo tunaudhika
ndo mana akisafili wiki tu unakuwa mpweke balaa so hvyo vijimambo vinakera lkn vinanogesha NDOA
7bu ndoa bila maneno maneno na mikwaluzano hata kudundana HAINOGI wala nini
7bu sote ni binadamu na binadamu kamili lazimi utamuudhi mwenzako au wewe uudhiwe na ukasilike haiwezekani ukasilishwe kwa kuudhiwa halafu usikasilike itakuwa wewe sio binadamu ni Punda
ndio mana hakuna sehemu tulosema hawafai au kuwaongelea maneno ya kuwadhalilisha So hakuna siri hapo ni kuwa tunatiana moyo tu kwamba wanawake hizo ndio tabia zao so km nilikuwa namsaport jamaa kuwa hilo lake ni cha mtoto wangu mm yupo hivi so ni jambo la kawaida tu.
Wewe kubeba mtoto wako baada ya kazi unaona tatizo? Wenzako tukitoka kazini tunakaa na watoto wetu wewe unaona shida? Halafu ukikaa na mtoto unampa mda yeye kufanya majukumu mengine, mbona it's very simple mkuu.
 
Mke ndio kila kitu jikoni, anatakiwa ajue nini apike leo, kipi kinafaa kwa familia yake na kipi leo hakifai. Mwanamke akishindwa hapo ana walakini mkubwa sana. La, basi waweke ratiba ya wiki.

Besides, mimi namuona jamaa kama anaingilia uhuru wa mke wake.
Unakuta mke hajiongezi ila sio tu kujiongeza nilichogundua wanawake wengi ambao hawajui wapike nini ni wale ambao hawana hobby ya jikoni😂!

Kuna wanawake wanapenda kupika balaa yani yeye kupika buffet daily haoni tabu atajipikilisha wali, sauce, nyama ya kuchoma au kukaanga, matunda, juice yani na hapo jikoni hamna spice ambayo utaikosa. Yani siku akiwa free mtakula siku nzima😅.Kuanzia asubuhi bites bites na chai nzuri yenye ladha kamili!

Kutana na mvivu wa jikoni sasa. Ndio hao wa kujinyoosha anasubiri aone sura yako ndio aulize tunapika nini. Chai ni maji na majani kamaliza😅! Akipika ni wali na chuzi la mimaji na nyanya kitungu! Hamna kiungo hata kimoja yani.

Usafi ni 0 !!!
 
Unakuta mke hajiongezi ila sio tu kujiongeza nilichogundua wanawake wengi ambao hawajui wapike nini ni wale ambao hawana hobby ya jikoni[emoji23]!

Kuna wanawake wanapenda kupika balaa yani yeye kupika buffet daily haoni tabu atajipikilisha wali, sauce, nyama ya kuchoma au kukaanga, matunda, juice yani na hapo jikoni hamna spice ambayo utaikosa. Yani siku akiwa free mtakula siku nzima[emoji28].Kuanzia asubuhi bites bites na chai nzuri yenye ladha kamili!

Kutana na mvivu wa jikoni sasa. Ndio hao wa kujinyoosha anasubiri aone sura yako ndio aulize tunapika nini. Chai ni maji na majani kamaliza[emoji28]! Akipika ni wali na chuzi la mimaji na nyanya kitungu! Hamna kiungo hata kimoja yani.

Usafi ni 0 !!!
Mvivu wa jikoni most probably hata chumbani ni mvivu, na uwezekano wa kuwa mchafu pia ni mkubwa.
 
Back
Top Bottom