Nikirudi nyumbani nisipokuta chakula tayari inanikera sana

Nikirudi nyumbani nisipokuta chakula tayari inanikera sana

Ukiwa kazini andika sms nataka kula hiki ama kile. Na nikikute juu ya mezq nikifika.
Binafsi nina kijana wa kazi, na ni mpishi mzuri mno. Pia anasimamia kazi nyingine ngumu na nzito hapo kwa boma yangu sababu ni kubwa na ina nyumba kadhaa. Na maisha mazuri sana yasiyo na haya mastress ya ndoa. Mara kuwaza anani-cheat. Hanihudumii. Mvivu nk. Nikitaka papuchi.. na pesa zangu hio sio tatizo kabisa. Nafanya mishe zangu vizuri bila kuvurugwa sababu wake siku izi wivu wao unavuruga mishe. Mfano kuna jamaa kafukuza wafanyakazi watatu wasichana kisa wivu wa mke. Mwingine kaachana na business partner mzuri mwanamke kisa wivu wa mke. Binafsi hakuna mtu anamezea mezea mate mali zangu kama wake wa leo walivyo. Maisha yangu raha kweli kweli.
 
Kama kila kitu kipo na hela unamwachia kuna tatizo. kila siku mi tulikuwa tunagombana ,siyo lunch wala dinner ,lunch gani ya saa kumi.

Nilizira week akajibadilisha ,narudi toka kazini nikiwa nimeshashiba nikifika naoga tu nalala ,akiivisha namwambia nishakula nilikotoka sipendi chakula cha kusubiri. Anakuwa anabaki na maswali kwamba huyu anakula kwa hawara au wapi ,lazima chakula kiive mapema
 
Kama kila kitu kipo na hela unamwachia kuna tatizo. kila siku mi tulikuwa tunagombana ,siyo lunch wala dinner ,lunch gani ya saa kumi.

Nilizira week akajibadilisha ,narudi toka kazini nikiwa nimeshashiba nikifika naoga tu nalala ,akiivisha namwambia nishakula nilikotoka sipendi chakula cha kusubiri. Anakuwa anabaki na maswali kwamba huyu anakula kwa hawara au wapi ,lazima chakula kiive mapema
Yani i cannot imagine. Umeoa mtu halafu ni kugombana kila siku na stress kila siku. Poleni sana.
 
Ni mwanaume asiyejielewa pekee anaweza kuanika udhaifu wa mke wake mtandaoni

Tujifunze, siri za ndani hazifai hata kufika sebuleni, tuzimalize ndani kwa ndani

Wanawake ni waelewa sana ukienda nao kwanza kwa kuwatibu kisaikolojia. Nenda nae taratibu, mweleweshe atakuelewa. Yamkini tabia hii alijijengea mwanzo mlipooana/kuanza kuishi pamoja na hukuikemea, akachukulia kama ndo lifestyle unayopendezwa nayo

Jifunze ulikosea wapi, then rekebisha makosa yako/Yenu

Tena hapa kwa sababu tupo mwisho wa mwaka, pangeni pamoja mipango yenu ya mwaka kesho, na hilo liwe moja ya ajenda yenu

Ova
we lazima ni mvivu wa kupika ni wale wa kuivisha lunch saa kumi na dinner saa tano usiku,kapike huko watu wale mapema
 
Ni mwanaume asiyejielewa pekee anaweza kuanika udhaifu wa mke wake mtandaoni

Tujifunze, siri za ndani hazifai hata kufika sebuleni, tuzimalize ndani kwa ndani

Wanawake ni waelewa sana ukienda nao kwanza kwa kuwatibu kisaikolojia. Nenda nae taratibu, mweleweshe atakuelewa. Yamkini tabia hii alijijengea mwanzo mlipooana/kuanza kuishi pamoja na hukuikemea, akachukulia kama ndo lifestyle unayopendezwa nayo

Jifunze ulikosea wapi, then rekebisha makosa yako/Yenu

Tena hapa kwa sababu tupo mwisho wa mwaka, pangeni pamoja mipango yenu ya mwaka kesho, na hilo liwe moja ya ajenda yenu

Ova
Ukweli unauma. Na ww unafanana na huyo mvivu mwenzako asiyempikia mumewe. Tulia tuliii... tukuangushie nondo leo.
 
watafutieni wake zenu changamoto [emoji23][emoji23]...
watu wengi hawajui kupangilia kazi zao aisee, sisi kwetu tulilelewaga chai iwe tayari saa 1-2 lunch saa7 dinner saa1 usiku wa kuchelewa kula ni wewe mwenyewe... na mimi nmejilea hivyo hivyo nashangaaga kuona namaliza kupika mtu anapeta mchele saa1 au 2

Sent from
 
Hivi mtu si unaoa ili usihangaike na mambo ya kuchepuka? Lakini ndio ivyo. Siku izi michepuko kitu cha kawaida sana sababu ndoa hazina furaha tena. Mtu anatafuta wa kumpatia furaha.
Sasa mtu anarudi home kachoka na hakuna msosi ,si bora ajitafutie zake mchepuko unaojua thamani ya mume?
 
Hata siku moja sijawah kurud nkakuta msosi bado

Bia tamu sana unarudi mapema home ili ugundue nin?
 
Unatoka kazini jioni umechoka, unatamani ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakini ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawili mbele dah!
Hakika inakera sana hyo
 
hakuna Gubu Dada
MWANAMKE lazima ujue MUMEO anapenda kipi na kipi
na chakura kipi akipendi na kipi anapenda

kwa ufupi sisi watu wa pwani SOKONI tunaenda wenyewe na kawaida yangu JODARI na SATO hawaishaji katika friji hasa JODARI huwa ninanua KUNDUCHI ama mbweni ila sana sana KUNDUCHI 7bu ni nafuu wa MWENZI mzima
na anajua ninapenda samaki
hvyo viungo vingine napitia BOMA kila wikiendi au nikiwa town kkoo job kabla soko halijaungua wanapitisha mtaani nanunua 7bu inakuwa nafuu sana na hata wale samaki wa kukaushwa wa mtoni
Kuku huwa tunakula FRESH hatuifadhi kwenye friji Mimi na mwanangu hatupendi nyama ngombe SISI tunapenda samaki yeye anapenda maharage

So mpk linakuja hilo swali la kibwege ujue ndani kila kitu kipo hayo mahoho manyanya mpk yanaoza mm mpk nazi huwa nanunua BOMA kwa mwezi mara 2 7bu huwa sipendi mboga kuungwa n mafuta na wali wa mafuta

So hakuna Gubu ni yeye tu mvulugaji anapenda tu kukukela ukasilike
7bu siku ukitaka chakula fulani huw namtaalifu mapema mfano kama leo nilimwambia mapema tu mchana JIONI pika pilau ila KUKU usichanganye na pilau
pika lost pembeni na zaidi nikamuambia weka na ile ya kunogesha Rosti ile nyanya ya pakti Royco
hivyo elewa wanawake nyinyi miyeyusho
tu sometyme ukishaitwa MRS FULANI
Chakura [emoji3]
 
Back
Top Bottom