Nikisema mastaa wenu hawana hela hasa bongo sasa Zari wakwenda kuspend element kwa jina alilonalo?

Nikisema mastaa wenu hawana hela hasa bongo sasa Zari wakwenda kuspend element kwa jina alilonalo?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow africa

Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu

1685408084174.png

 
Hellow africa

Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Nyie wanawake huwa mnapoteza muda mwingi kufuatilia mambo ya watu. Huyo zari ni nani na anahusika na nini? Tafuta issues za kufanya uwe busy hutopata muda wa kuangalia nani anakunyww na anakula au anakunya wapi. Unataka ukazoe? Get busy.
 
Nyie wanawake huwa mnapoteza muda mwingi kufuatilia mambo ya watu. Huyo zari ni nani na anahusika na nini? Tafuta issues za kufanya uwe busy hutopata muda wa kuangalia nani anakunyww na anakula au anakunya wapi. Unataka ukazoe? Get busy.
👍👍
 
Hellow africa

Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Utakuwa mshamba tu...hana hela amekwea pipa toka SA hadi hapa?
Huoni pia ameitwa kibiashara?

Unafikiri alipohojiwa na kusema atakuwa Element ni bahati mbaya?
Lwa taarifa yako amelipwa mpunga mrefu kuja hapo Element
 
Back
Top Bottom