Nikisema mastaa wenu hawana hela hasa bongo sasa Zari wakwenda kuspend element kwa jina alilonalo?

Nikisema mastaa wenu hawana hela hasa bongo sasa Zari wakwenda kuspend element kwa jina alilonalo?

Hatuongelei Elements
tunaongelea 'What's Elements '?
Elements ni Lounge & Bar kitu ambacho ulizotaja hapo zote ni Restaurant
sasa Unakuta bidada anataka kuhappen lazima aende elements maana ndio atleast ina Class kidogo... Elements ilinganishe na Bar& lounge places
Wavuvi ni bar usiku mchana restaurant mzee na wavuvi pale huyo zari anapesa ya kulipia pale ata wine
 
Star ni nini ?

Technically nadhani Star ni mtu anayengara kwenye sekta fulani.., Sasa kama umeshakubali kwa definition yako kwamba fulani ni Star kwanini ni necessary awe na pesa ?

Ofcourse kama unahusudu pesa huenda kwako ma-star /u-star ni kuwa na pesa, au pesa ni muhimu kwa star....; Ingawa to each his/her own binafsi nadhani talent / creativity trumps money (anyone can amass cash but ingenuity takes some doing) By the way sisemi yoyote hapo uliyemtaja ana talent / creativity nor ingenuity...
 
Ww yakwako kubwa ipo wapi unajua thamani halisi ya element unajua wanaingiza bei gani kwa siku pale udogo wa sehemu kwako unauonaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km wavuvi had wee unaenda ndo Zari ashindweee? Maajabu hayaa lol
Ahahah mimi napesa kushinda uyo zari wenu ambaye mtu kazeeka anakesha uturuk
 
Back
Top Bottom