Nikisema mastaa wenu hawana hela hasa bongo sasa Zari wakwenda kuspend element kwa jina alilonalo?

Nikisema mastaa wenu hawana hela hasa bongo sasa Zari wakwenda kuspend element kwa jina alilonalo?

Utakuwa mshamba tu...hana hela amekwea pipa toka SA hadi hapa?
Huoni pia ameitwa kibiashara?

Unafikiri alipohojiwa na kusema atakuwa Element ni bahati mbaya?
Lwa taarifa yako amelipwa mpunga mrefu kuja hapo Element
Sawa mume wadada
 
Kwani kaja kupafomu ?!!si ameitwa kuhost show bwamdogo hebu muache Zari wa watu siku hizii nampenda ujue
Yaan mie Zari nampendagaa tangu zamaniiii.
Niko upandee wake, alipoo nipooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hellow africa

Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Jua kutofautisha restaurant na maeneo ya starehe dogo janja
 
Mjulishe kuwa hajaja kuspend bali kaitwa kibiashara, uwepo wake pale Elwnent itapiga pesa kupitia Zari
Inaitwa V.I.P CLUB APPEARANCE hata kina 50 Cent na Chris brown wanazifanya sana kwenye club za usiku mbalimbali na wanalipwa..
Mwaka jana Chris Brown alikuwa Club fulani Nairobi na aliliowa kwa muda aliokaa
 
Back
Top Bottom