Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ni staa wa tasnia gani?Hellow africa
Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Element ndogo sanaKarambezi(Sea cliff) Ctfm Fishmonger Thai khan Slipway ni Restaurant
sio Kama Elements/maison etc
Wewe lazima utakuwa wa mkoa.Hellow africa
Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Ahahahah kwamba sipajui elementWewe lazima utakuwa wa mkoa.
Amezaa na diamondZari ndio nani tena 🤔🤔
Nyie wanawake huwa mnapoteza muda mwingi kufuatilia mambo ya watu. Huyo zari ni nani na anahusika na nini? Tafuta issues za kufanya uwe busy hutopata muda wa kuangalia nani anakunyww na anakula au anakunya wapi. Unataka ukazoe? Get busy.Hellow africa
Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
👍👍Nyie wanawake huwa mnapoteza muda mwingi kufuatilia mambo ya watu. Huyo zari ni nani na anahusika na nini? Tafuta issues za kufanya uwe busy hutopata muda wa kuangalia nani anakunyww na anakula au anakunya wapi. Unataka ukazoe? Get busy.
Utakuwa mshamba tu...hana hela amekwea pipa toka SA hadi hapa?Hellow africa
Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Angeficha ushamba tuKwani kaja kupafomu ?!!si ameitwa kuhost show bwamdogo hebu muache Zari wa watu siku hizii nampenda ujue
Kwakweli, wasiwe wanaandika uzi kama wote tunaishi huko dasilama.Zari ndiyo Nani? Wengine hatumjui