Mjulishe kuwa hajaja kuspend bali kaitwa kibiashara, uwepo wake pale Element itapiga pesa kupitia ZariHii Nchi imejaa watu wajinga ikiwemo mtoa Mada
Mfano akispend sea crif wewe utapata Nini katika Maisha yako?
Sawa mume wadadaUtakuwa mshamba tu...hana hela amekwea pipa toka SA hadi hapa?
Huoni pia ameitwa kibiashara?
Unafikiri alipohojiwa na kusema atakuwa Element ni bahati mbaya?
Lwa taarifa yako amelipwa mpunga mrefu kuja hapo Element
Yaan mie Zari nampendagaa tangu zamaniiii.Kwani kaja kupafomu ?!!si ameitwa kuhost show bwamdogo hebu muache Zari wa watu siku hizii nampenda ujue
Kichwa chako shemegi😂Sawa mume wadada
Jua kutofautisha restaurant na maeneo ya starehe dogo janjaHellow africa
Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Naongea vichwa wili sasa unaongelea kipi mume wadada😂Kichwa chako shemegi😂
Kwani restaurant hakuna stareheeJua kutofautisha restaurant na maeneo ya starehe dogo janja
Ww yakwako kubwa ipo wapi unajua thamani halisi ya element unajua wanaingiza bei gani kwa siku pale udogo wa sehemu kwako unauonaje 😂😂😂😂Element ndogo sana
Ahahah mume kakonda kama usbAchana na Zari kuwa hapo Elements, mie yule mumewe tyuuh ananimalizaaaaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu muache Boss lady wetuuu.
Ukijua kutofautisha utanielewa ninachomaanisha punguza tu kaushambaKwani restaurant hakuna starehee
Unakoelekea sikoNaongea vichwa wili sasa unaongelea kipi mume wadada😂
Swekeni Itigi you know! 🤣🤣🤣Mleta mada umeandika kama vile wote tunamjua huyo Zari,
Ndio nani huyo huko Daslam?
Wengine tupo huku Sweken ujue.
Kula nyma inyoyUnakoelekea siko
Inaitwa V.I.P CLUB APPEARANCE hata kina 50 Cent na Chris brown wanazifanya sana kwenye club za usiku mbalimbali na wanalipwa..Mjulishe kuwa hajaja kuspend bali kaitwa kibiashara, uwepo wake pale Elwnent itapiga pesa kupitia Zari
Ficha ujinga wako.Hellow africa
Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Hatuongelei ElementsElement ndogo sana