Nikishatofautiana na WIFE, Michepuko naiona kama takataka

Nikishatofautiana na WIFE, Michepuko naiona kama takataka

Nikwambie kitu mshua....kama alirudi leba mara ya pili ama ya tatu basi fata ushauri wa mkuu hapo juu..atasamehe na atakaa sawa. Unampenda mkeo kiukweli na ndo maana huna amani. As long as aliapologize basi tayari umeshashinda.

Tafuta kizawadi afu kama vipi mtoe out. Ikiwezekana mkalale huko hata weekend kama watt sio wadogo sana. Mpe maneno mazuri..mpetty petty..mpe romances za kutosha and tell her she is your world. Mueleze namna ambavyo unamuappreciate na unapenda amani baina yenu. Tell her nyinyi ni wanandoa, baba na mama wa so and so but express how you love her from your inner soul. Mwambie udhaifu wake ambao unakukwaza na ukimaliza mwambie mazuri yake hata kama si yote, asije akavimba kichwa. Na vizuri zaidi umpe nafasi naye aseme kilichopo moyoni kama ni mazuri yako na udhaifu wako unaomuumiza na kumkosesha raha.

Tell her you are sorry kwa kilichopita katikati yenu na myasahau..myazike msonge mbele. Assure her you love her and kama utaweza mpe fungu la maana na umwambie hii ni kwa ajili ya familia na hili ni lako special..liwe la maana sasa mshua sio la kinyonge. Ambalo kwa hali ya uchumi wenu anayoijua ataweza kwenda kununua nguo nzuri, kusuka style nzuri au kufanya chochote atachojisikia. Watoto watakuwa vizuri na amani kama mama yao ana amani.

Kama unampenda mkeo na unapenda familia yako iweke namba moja. Huyo akiwa na amani na urafiki ukawa restored, hata kuna staili ambazo si rahisi za kule kwenyewe kule..yuko radhi kujifunza akufurahishe...🤸. Kujenga urafiki na mkeo na kuirejesha amani is a process so you have to earn it.

Concentrate on her saivi. Focus on your woman..ila mipaka pia iwepo and sikwambii umworship. Love your wife braza..its hard but its a choive you have to make every single day you rise. All the best.

NB: Huu ni ushauri kwa deep kama una ushauri wako na wewe andika. Kama hukubaliani nao please just pass my love.
 
Saa hii mwenzio yuko na x wake anampelekea lunch amaizing,
wewe unashusha thread jf
Kwanini wanaume huwa mnaamua kumuudhi mtu makusudi na hutaki kukubali makosa yaishe bila kufanya mambo marefu adi mpelekane kwa wazazi?
Acha sasa x wake amfariji!😁
 
Nikwambie kitu mshua....kama alirudi leba mara ya pili ama ya tatu basi fata ushauri wa mkuu hapo juu..atasamehe na atakaa sawa. Unampenda mkeo kiukweli na ndo maana huna amani. As long as aliapologize basi tayari umeshashinda.

Tafuta kizawadi afu kama vipi mtoe out. Ikiwezekana mkalale huko hata weekend kama watt sio wadogo sana. Mpe maneno mazuri..mpetty petty..mpe romances za kutosha and tell her she is your world. Mueleze namna ambavyo unamuappreciate na unapenda amani baina yenu. Tell her nyinyi ni wanandoa, baba na mama wa so and so but express how you love her from your inner soul. Mwambie udhaifu wake ambao unakukwaza na ukimaliza mwambie mazuri yake hata kama si yote, asije akavimba kichwa. Na vizuri zaidi umpe nafasi naye aseme kilichopo moyoni kama ni mazuri yako na udhaifu wako unaomuumiza na kumkosesha raha.

Tell her you are sorry kwa kilichopita katikati yenu na myasahau..myazike msonge mbele. Assure her you love her and kama utaweza mpe fungu la maana na umwambie hii ni kwa ajili ya familia na hili ni lako special..liwe la maana sasa mshua sio la kinyonge. Ambalo kwa hali ya uchumi wenu anayoijua ataweza kwenda kununua nguo nzuri, kusuka style nzuri au kufanya chochote atachojisikia. Watoto watakuwa vizuri na amani kama mama yao ana amani.

Kama unampenda mkeo na unapenda familia yako iweke namba moja. Huyo akiwa na amani na urafiki ukawa restored, hata kuna staili ambazo si rahisi za kule kwenyewe kule..yuko radhi kujifunza akufurahishe...🤸. Kujenga urafiki na mkeo na kuirejesha amani is a process so you have to earn it.

Concentrate on her saivi. Focus on your woman..ila mipaka pia iwepo and sikwambii umworship. Love your wife braza..its hard but its a choive you have to make every single day you rise. All the best.

NB: Huu ni ushauri kwa deep kama una ushauri wako na wewe andika. Kama hukubaliani nao please just pass my love.
Ushauri mzuri ila msichokijua ni kuwa sometimes pia wanawake huchoka especially mtu ajue huwa unafanya kusudi ukijua kuwa utaomba msamaha,utamtoa out then yaishe!
Ni kama you are taking someone for granted aisee,sio poa
When a woman is fed up,utajua hujui!
 
Ushauri mzuri ila msichokijua ni kuwa sometimes pia wanawake huchoka especially mtu ajue huwa unafanya kusudi ukijua kuwa utaomba msamaha,utamtoa out then yaishe!
Ni kama you are taking someone for granted aisee,sio poa
When a woman is fed up,utajua hujui!
Umewahi kusoma kisa alichoandikaga juu ya mke wake alichofanyaga? Na yeye angemchoka kipindi kile? Marriage is more of forgiveness. Wengne kila siku tunakosewa na anakuudhi kweli..lakin utafanyaje? Maana kiukweli na mm nina yangu ni vile mwenzangu huwa anachoose kuover look.

Kama unajijua utakuja kuchoka kusamehe usiingie. Tujifunze Rehema. Kuextend Grace kwa wenza wetu kila mara. Its very hard. Na kwa hapa kwa jinsi alivyoandika deep, kosa lililotokea ni la kupatana tu. Mke atakua fed up kama ni vipigo vibaya ama usaliti, ikiwa mwanaume haonyeshi kujuta na akawa anazidisha kebehi na matusi na dharau. Lakini makosa mengine yanaongeleka na yanasameheka.
 
Pole sana mkuu, ila kwangu ni tofauti nikizinguana na wife huwa ndio muda wa kuinjoi na mchepuko kwa raha zote yaani nakuwa na mda wa kutosha kukaa kwa mchepuko pia
 
Saa hii mwenzio yuko na x wake anampelekea lunch amaizing,
wewe unashusha thread jf
Kwanini wanaume huwa mnaamua kumuudhi mtu makusudi na hutaki kukubali makosa yaishe bila kufanya mambo marefu adi mpelekane kwa wazazi?
Acha sasa x wake amfariji![emoji16]
Ha ha ha ...
wife wangu anajiheshimu Sana
sio mwanamke wa pigo Hizo kabisa[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikwambie kitu mshua....kama alirudi leba mara ya pili ama ya tatu basi fata ushauri wa mkuu hapo juu..atasamehe na atakaa sawa. Unampenda mkeo kiukweli na ndo maana huna amani. As long as aliapologize basi tayari umeshashinda.

Tafuta kizawadi afu kama vipi mtoe out. Ikiwezekana mkalale huko hata weekend kama watt sio wadogo sana. Mpe maneno mazuri..mpetty petty..mpe romances za kutosha and tell her she is your world. Mueleze namna ambavyo unamuappreciate na unapenda amani baina yenu. Tell her nyinyi ni wanandoa, baba na mama wa so and so but express how you love her from your inner soul. Mwambie udhaifu wake ambao unakukwaza na ukimaliza mwambie mazuri yake hata kama si yote, asije akavimba kichwa. Na vizuri zaidi umpe nafasi naye aseme kilichopo moyoni kama ni mazuri yako na udhaifu wako unaomuumiza na kumkosesha raha.

Tell her you are sorry kwa kilichopita katikati yenu na myasahau..myazike msonge mbele. Assure her you love her and kama utaweza mpe fungu la maana na umwambie hii ni kwa ajili ya familia na hili ni lako special..liwe la maana sasa mshua sio la kinyonge. Ambalo kwa hali ya uchumi wenu anayoijua ataweza kwenda kununua nguo nzuri, kusuka style nzuri au kufanya chochote atachojisikia. Watoto watakuwa vizuri na amani kama mama yao ana amani.

Kama unampenda mkeo na unapenda familia yako iweke namba moja. Huyo akiwa na amani na urafiki ukawa restored, hata kuna staili ambazo si rahisi za kule kwenyewe kule..yuko radhi kujifunza akufurahishe...[emoji1732]. Kujenga urafiki na mkeo na kuirejesha amani is a process so you have to earn it.

Concentrate on her saivi. Focus on your woman..ila mipaka pia iwepo and sikwambii umworship. Love your wife braza..its hard but its a choive you have to make every single day you rise. All the best.

NB: Huu ni ushauri kwa deep kama una ushauri wako na wewe andika. Kama hukubaliani nao please just pass my love.
Nmejifunza kitu Hapa,
Hii ya kumtoa out Ni bonge la idea,
Hebu ntakaribu kuifanyia Kaz afu ntakupa mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikwambie kitu mshua....kama alirudi leba mara ya pili ama ya tatu basi fata ushauri wa mkuu hapo juu..atasamehe na atakaa sawa. Unampenda mkeo kiukweli na ndo maana huna amani. As long as aliapologize basi tayari umeshashinda.

Tafuta kizawadi afu kama vipi mtoe out. Ikiwezekana mkalale huko hata weekend kama watt sio wadogo sana. Mpe maneno mazuri..mpetty petty..mpe romances za kutosha and tell her she is your world. Mueleze namna ambavyo unamuappreciate na unapenda amani baina yenu. Tell her nyinyi ni wanandoa, baba na mama wa so and so but express how you love her from your inner soul. Mwambie udhaifu wake ambao unakukwaza na ukimaliza mwambie mazuri yake hata kama si yote, asije akavimba kichwa. Na vizuri zaidi umpe nafasi naye aseme kilichopo moyoni kama ni mazuri yako na udhaifu wako unaomuumiza na kumkosesha raha.

Tell her you are sorry kwa kilichopita katikati yenu na myasahau..myazike msonge mbele. Assure her you love her and kama utaweza mpe fungu la maana na umwambie hii ni kwa ajili ya familia na hili ni lako special..liwe la maana sasa mshua sio la kinyonge. Ambalo kwa hali ya uchumi wenu anayoijua ataweza kwenda kununua nguo nzuri, kusuka style nzuri au kufanya chochote atachojisikia. Watoto watakuwa vizuri na amani kama mama yao ana amani.

Kama unampenda mkeo na unapenda familia yako iweke namba moja. Huyo akiwa na amani na urafiki ukawa restored, hata kuna staili ambazo si rahisi za kule kwenyewe kule..yuko radhi kujifunza akufurahishe...[emoji1732]. Kujenga urafiki na mkeo na kuirejesha amani is a process so you have to earn it.

Concentrate on her saivi. Focus on your woman..ila mipaka pia iwepo and sikwambii umworship. Love your wife braza..its hard but its a choive you have to make every single day you rise. All the best.

NB: Huu ni ushauri kwa deep kama una ushauri wako na wewe andika. Kama hukubaliani nao please just pass my love.
Maneno yako yamenigusa kabisa Juandeglo , mbinu nzur sn Hizi[emoji4][emoji1431]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri mzuri ila msichokijua ni kuwa sometimes pia wanawake huchoka especially mtu ajue huwa unafanya kusudi ukijua kuwa utaomba msamaha,utamtoa out then yaishe!
Ni kama you are taking someone for granted aisee,sio poa
When a woman is fed up,utajua hujui!
Sio nafanya kusudi,
Nishajua nilimkosea, ila Sijui mapungufu au vipi, Mi ni mzito sn kukiri nmekosa "nisamehe"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom